DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Isije ikalipuliwa nayo maana hali si shwari sasa
MUNGU amponye kamanda
 
Alichosema Lissu chumba cha habari


Kwa ufupi
Licha ya kushambuliwa kwa risasi, Tundu Lissu amewahi kusema kuwa katika siku za karibuni hakuwahi kutishiwa maisha, bali miaka 20 iliyopita.

Dar es Salaam. Machi 27, Lissu alitembelea chumba cha habari Mwananchi na moja ya maswali tuliyomuuliza ni “Kwa misukosuko mbalimbali ya kisiasa unayokumbana huna hofu juu ya maisha yako?”

Jibu: Ni kweli watu wana hasira na mimi, lakini hawajawahi kunitishia maisha. Kabla sijawa mbaya kiasi hiki, miaka 20 iliyopita nilipokuwa mwanaharakati kwenye Chama cha wanasheria wa mazingira (LEAT) pale nilikutana na vitisho. Nilianzisha ugomvi na mfanyabiashara anaitwa Reginald Nolan, huyu aliuzia nchi vifaa vya kijeshi na katika kulipa deni lake, Serikali ya Mkapa ikampatia ekari 20,000 ajenge mabwawa ya kufuga kamba. Tulianza kupambana naye, hapo ndipo tulikuwa tunakuta bahasha za vitisho chini ya mlango katika ofisi zetu pale Kariakoo. Lakini hatukunyamaza. Tulimvuruga yule jamaa akakimbia na baada ya hapo sijawahi kutishwa.

Lakini najua watakuwa wanajiuliza, unamuanzaje yule jamaa, useme nyamaza tutakuua, useme nyamaza tutakufunga, unaanzaje? Lakini kwa siasa za namna yangu, kwa sababu kuna watu wanakuchukia kwelikweli, huwezi kuwa salama na usipotegemea kusumbuliwa utapata shock (mshtuko).

Yote haya yanayonipata sijawahi kushangaa, sijawahi kukosa usingizi. Hata nikilala Central Police (Kituo Kikuu Polisi) huwa napata usingizi na ninakoroma kwelikweli. Nikishapata mto wangu, naunganisha chupa tatu za maji nazifunga kwa shati nalala kama kawaida.

Lakini nikisema sikosi usingizi sina maana kuwa napafurahia, hapana. Kule si mahali pazuri hata kidogo. Ni pabaya kwelikweli. Si pazuri hasa kama huna kosa. Nasema kama huna kosa maana najua kesi zangu zote za uchochezi kuwa sina kosa lolote, sheria ileile ninayodaiwa kuivunja imenipa uhuru wa kuzungumza, kuikosoa Serikali na kumkosoa Rais.
chanzo.Alichosema Lissu chumba cha habari
 
siraha zote zimilikiwazo na watu zimesajiliwa na idadi ya risasi kwa kila siraha
 
Hivi watu wasiojulikana ni pamoja na walioingia clouds wakamkata mtama sudy na kwisa. Na wengine niwale walimnyooshea bunduki nape hadharani??. Watu wasiojulikana hivi huwa wanakaa wapi? Hata mimi sijulikani
 

REUTERS Wanaripoti hivi:

By Fumbuka Ngw‘anakilala

DAR ES SALAAM, Sept 7 (Reuters) - Tanzanian opposition lawmaker Tundu Lissu, a fierce critic of President John Magufuli’s government, was shot and wounded by unknown assailants at his residence in the administrative capital Dodoma on Thursday, his party said.

“Lissu has suffered multiple gunshot wounds and is being treated at the main public hospital in Dodoma,” Tumaini Makene, spokesman for the main opposition CHADEMA party, said.

CHADEMA said in a separate statement the incident took place at his Dodoma residence on Thursday afternoon.

“We strongly condemn this attack and are closely monitoring his condition,” the statement said.

Lissu, who is also the president of the Tanganyika Law Society and opposition chief whip in parliament, has previously been arrested by police on several occasions and charged with incitement.

He was arrested in July and later released after having called Magufuli a “dictator”.

The motive of the shooting is unclear. Tanzania police’s spokesman was not immediately available for comment.

DW (Kiswahili)

2 hrs ·
HABARI ZA HIVI PUNDE: Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amepigwa risasi na kujeruhiwa na watu wasiojulikana. Amelazwa katika hospitali kuu ya DODOMA - Kwa mengi zaidi kuhusu kisa hicho, JIUNGE NASI kwenye Dunia Yetu Leo Jioni

Al-Jazeera Wanaripoti hivi:
Tanzania: Opposition MP Tundu Lissu wounded by gunmen
Top opposition figure suffers multiple gunshot wounds by unknown attackers at his residence in Dodoma

A prominent opposition member of parliament in Tanzania has been shot and "seriously wounded" by unknown attackers at his residence in the administrative capital, Dodoma, according to officials.

Tundu Lissu underwent emergency surgery after being shot in the abdomen on Thursday. James Kiologwe, a doctor at Dodoma regional hospital, said he was in stable condition.

"[Tundu] Lissu has suffered multiple gunshot wounds," Tumaini Makene, spokesman for the main opposition CHADEMA party, said shortly after the incident.

"We strongly condemn this attack and are closely monitoring his condition."

Mwigulu Nchemba, Tanzania's home affairs minister, confirmed the incident and Lissu's condition, adding that the government would issue a statement after receiving a medical report.

The motive of the shooting was unclear.

Fierce critic
Lissu, a fierce critic of President John Magufuli and his government, is the president of the Tanganyika Law Society.

He has previously been arrested by police on several occasions and charged with incitement.

In July, he was arrested and later released after having called Magufuli a "dictator" over alleged attacks on the opposition and the media.
 
Reactions: SDG
Wangemuwahisha Nairobi....sio mbali mbona.
 
Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu ameruhusiwa kutoka chumba cha upasuaji akiwa na fahamu na sasa anapelekwa Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi.
======
Taarifa zote za uhakika tutakuwa tunazitoa kila baada ya muda mfupi

Muhimbili dawa zimeisha?
 
Mungu Mpiganie Lisu hayujajiandaa kukaa bila Lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…