siasa ya maendeleo
Member
- Jul 29, 2015
- 47
- 14
Aisee tumefikia pabaya, nakuombea lissu mpigania haki ya watanzania Mungu akuponye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuondolee ufisadi wako hapa.I really love Lissu, I love his integrity, lakini nilishangazwa sana na anavyoponda jitihada za kuwazuia waizi wanaotuibia madini.. Hata kama serikali ilikuwa inakosea njia waliyokuwa wanaitumia, he is a Tanzanian, hakuna ulazima wa yeye kuside na wezi wetu..
I'm really sad for Lissu, lakini pia ajue chama alichopo si cha upinzani.. I wish I could speak the truth lakini siwezi, CDM si chama cha Upinzani. Let me end there...
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto ni msemaji wa chadema/Ukawa? CCM?Na wengine.Siku zote huwa anawawahi.Our fellow MP for
Singida East Tundu
Lissu has been shot by
unknown people. He
has been rushed to
dodoma general
hospital~~~Zitto Kabwe
Hicho ni kikundi cha Ssm tu hakuna kingineKuwa na staha ya maneno kwa hili,
Utakapotakiwa kuutoa ushahidi jipange kuuwasilisha
Hata wafatilie viongozi wa kuzimu watu lazima waseme. Hapa duniani tunapita tuu mkuu.Huu uzi unafatiliwa kwa karibu sana na viongozi wa CCM.
Chungeni sana kauli zenu.
Tuondolee ufisadi wako hapa.I really love Lissu, I love his integrity, lakini nilishangazwa sana na anavyoponda jitihada za kuwazuia waizi wanaotuibia madini.. Hata kama serikali ilikuwa inakosea njia waliyokuwa wanaitumia, he is a Tanzanian, hakuna ulazima wa yeye kuside na wezi wetu..
I'm really sad for Lissu, lakini pia ajue chama alichopo si cha upinzani.. I wish I could speak the truth lakini siwezi, CDM si chama cha Upinzani. Let me end there...
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani nyie Magamba na makinikia huwa hamna aibu na soni kwa propoganda hizi za enzi za Soviets zilizopitwa na wakati?HAMA KWELI HARAKATI ZA KUPATA NAFASI YA KUGOMBEA KITI CHA URAISI mwaka 2020 KWENYE CHAMA CHA WACHAGA ZIMEANZA ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
MNA RUHUSIWA KUNIPONDA.
harakati zinaanza na risasi..HAMA KWELI HARAKATI ZA KUPATA NAFASI YA KUGOMBEA KITI CHA URAISI mwaka 2020 KWENYE CHAMA CHA WACHAGA ZIMEANZA ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
MNA RUHUSIWA KUNIPONDA.