Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,272
So whatMsomeni huyo, muelewe kilichoandikwa then muunganishe nukta.
Any one can create a fake account to mislead people
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So whatMsomeni huyo, muelewe kilichoandikwa then muunganishe nukta.
cha ajabu TCRA hawatachukua hatua yoyote ileMsomeni huyo, muelewe kilichoandikwa then muunganishe nukta.
pleaseNaomba hizi taarifa za Kifo nilizozisikia sasa hivi zisiwe za kweli....sitaki hata kuandika. MUNGU Baba naomba tenda muujiza wako leo hii tukakuone.
Msikiliza kwa makini..atapona na mapambano yataendelea
bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
Bad News get well soon Tundu Lissu a true hero Of our country
Acha woga hakuna mtu ambaye hataonja mauti.tuko tayari kufa kwa ajili ya kudai haki, iko siku tutapata haki naamini hawawezi kutuua woteHuu uzi unafatiliwa kwa karibu sana na viongozi wa CCM.
Chungeni sana kauli zenu.
Use critical thinking.tujiepushe na kudhani-dhani, dhana hukupeleka pabaya
Mungu akusamehe sijui angekuwa baba yako,kaka yako etc bado ungeandika ulichoandikaKwa nini huyo jamaa hakulenga vizuri?
Mkuu nijulishe tafadhali hata pmJAMANI NIMESIKIA HABARI MPYA KUTOKA MTU WA KARIBU NGOJA NIWE MPOLE LKN AITAKUBALIKA ATA KDOGO
Very sorry mingi sana to TL. Mungu amponye kwa wepesiChuki inatupeleka pabaya sana, mmefikia mahali mnataka kumuua Lissu?![]()
Acha Ku create utetezi mkuu wa kindezi. Hamna cha vita ya uchumi wala nini, acheni kuwapa watu usafi wasiokuwa nao. This is too obvious pleaseNimeona watu wanazungumzia SUALA hili la lissu ktk NAMNA tofauti tofauti
WENGINE WAKIWA neutral hawajui
Na wengine wakiituhumu SERKAL
Kwa maoni yangu niseme tu hili ni jambo baya sanaaaa na lapaswa kupigwa vita kila KONA
JAPO ni mapema mno kurusha tuhuma pasipo julikana
Kwa wale waliopitia mambo ya propaganda
Wanaweza nielewe
Haya mambo tulijifunza
Na kweli nimeshuhudia Sana'a yakitokea ndani ya siasa
Kwa harakaharaka ni simple MTU kusema ni SERKAL na INA chuki na lisu n.k
Lakini pia maadui ktk ULIMWENGU w uadui na ujasusi,hutumia fursa kama hizi ktk kukoleza amakuchochea moto wa sakata kama HILI
Either kwa ajili ya maslahi yao kuyalinda
AMA kwa ajili ya kumrudisha MTU nyuma
Kwa upande wa SERKAL juhud za JPM zinaonekana na kila MTU anaona adivyomfumbia macho YOYOTE IWE chama TAWALA n.k
So watu wajue pia maumivu yanauma pia
So MTU UNAWEZA Fanya chochote ili kuchochea vitu
Kwa nyakati hizi kwa SERKAL ni NGUMU sana kufanya kitu cha kipuuzi kama hicho cha kutuma watu wakampige MTU wakati kuna report. Imewasilishwa
Bado WATZ hatujafikia huko
Unless ya GADAF yaanze kujitokeza kwetu kwa uchochez wa kipropaganda and the last akaondolewa na wananchi na kuuwawa kabisa
But Leo wanamkumbuka
SO WE NEED TO BE SILENCE ANF LET'S KNOW WHAT'S GOING ON