DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Mungu Baba wa mbinguni, pengine naweza kuwa sistahili mbele zako kuleta maombi haya kwako kutokana na mapungufu yangu, lakini katika hili Baba Mungu nakuomba usiyatizame mapungufu yangu bali ukusikie kuomba kwangu.

Mungu mwenye enzi Mungu mkuu, Tia mkono wako juu ya kiumbe wako huyu Tundu Lissu kama ulivyomuinua mwanao baada ya shetani kushindwa, Mungu baba wafanye mashetani haya yashindwe vile vile kama yalivyoshindwa kwa mwanao mpendwa Yesu Kristu.

Tundu Lissu amekuwa akiifanya kazi yako kwa kuwakemea mafalisayo na wakuu wa sheria bila woga kama alivyofanya mwanao mpendwa, Baba usiruhusu washinde bali uwaoneshe kwamba huyu anaifanya kazi inayokupendeza wewe na kwamba saa yake haijafika ya kumuondoa kwenye kazi yake uliyompa kwa ajili yetu.
Mpe uzima mpe uponyaji wako ili wapate kujua kuwa shetani hana mamlaka juu ya kiumbe wako hata kama wamemmiminia risasi zaidi ya ishirini, umemkinga Baba kwa muujiza wako maana bila hivyo hata hospitali asingefika akiwa hai kama walivyodhamiri hao shetani.

Nakutumaini Mungu maana hujawahi kuniangusha, nisikie na katika hili wapate kutambua kwamba shetani atendaye kinyume na kazi zako daima hatofanikiwa.

Ahsante Mungu Baba kwakuwa umenisikia na umenipa kibali kuyaomba haya kwako. Ni katika njia ya Yesu Kristu ninakushukuru.
Aamina.
AMINA MUNGU WANGU.

ACHA nikae KIMYA...!
 
db92f890e5f7e0eccff0493ff5aecb4c.jpg
b40d1c805195b612ed3acc10083585ef.jpg

Aisee jamaa waliamua kumuua hapohapo sema tu shani ya Mungu.Risasi zaidi ya 20,walitumia machine gun mafirauni haya. Hii nchi tunapoelekea anajua Mungu mwenyewe...
 
Moderators tunaomba siku ya leo BAN isiwepo watu tuna uchungu na mapovu ya kutosha na matusi juu ,tuachieni uhuru tafadhali
Hope wamekusikia japo sina uhakika kama wamekuelewa

Sent from my TV
 
Mungu Baba wa mbinguni, pengine naweza kuwa sistahili mbele zako kuleta maombi haya kwako kutokana na mapungufu yangu, lakini katika hili Baba Mungu nakuomba usiyatizame mapungufu yangu bali ukusikie kuomba kwangu.

Mungu mwenye enzi Mungu mkuu, Tia mkono wako juu ya kiumbe wako huyu Tundu Lissu kama ulivyomuinua mwanao baada ya shetani kushindwa, Mungu baba wafanye mashetani haya yashindwe vile vile kama yalivyoshindwa kwa mwanao mpendwa Yesu Kristu.

Tundu Lissu amekuwa akiifanya kazi yako kwa kuwakemea mafalisayo na wakuu wa sheria bila woga kama alivyofanya mwanao mpendwa, Baba usiruhusu washinde bali uwaoneshe kwamba huyu anaifanya kazi inayokupendeza wewe na kwamba saa yake haijafika ya kumuondoa kwenye kazi yake uliyompa kwa ajili yetu.
Mpe uzima mpe uponyaji wako ili wapate kujua kuwa shetani hana mamlaka juu ya kiumbe wako hata kama wamemmiminia risasi zaidi ya ishirini, umemkinga Baba kwa muujiza wako maana bila hivyo hata hospitali asingefika akiwa hai kama walivyodhamiri hao shetani.

Nakutumaini Mungu maana hujawahi kuniangusha, nisikie na katika hili wapate kutambua kwamba shetani atendaye kinyume na kazi zako daima hatofanikiwa.

Ahsante Mungu Baba kwakuwa umenisikia na umenipa kibali kuyaomba haya kwako. Ni katika njia ya Yesu Kristu ninakushukuru.
Aamina.
TL apone haraka arudi kwenye afya yake! ila uliyoyajaza humo kwenye comment yanatia wasiwasi kama kweli upo sawasawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MBUNGE WA SINGIDA MASHARIKI AMBAE PIA NI MWANASHERIA MKUU WA CHADEMA MR TUNDU LISSU AMEPIGWA RISASI AKIWA MJINI DODOMA.

MWANASHERIA TUNDU LISU.jpg
 
Mungu Baba wa mbinguni, pengine naweza kuwa sistahili mbele zako kuleta maombi haya kwako kutokana na mapungufu yangu, lakini katika hili Baba Mungu nakuomba usiyatizame mapungufu yangu bali ukusikie kuomba kwangu.

Mungu mwenye enzi Mungu mkuu, Tia mkono wako juu ya kiumbe wako huyu Tundu Lissu kama ulivyomuinua mwanao baada ya shetani kushindwa, Mungu baba wafanye mashetani haya yashindwe vile vile kama yalivyoshindwa kwa mwanao mpendwa Yesu Kristu.

Tundu Lissu amekuwa akiifanya kazi yako kwa kuwakemea mafalisayo na wakuu wa sheria bila woga kama alivyofanya mwanao mpendwa, Baba usiruhusu washinde bali uwaoneshe kwamba huyu anaifanya kazi inayokupendeza wewe na kwamba saa yake haijafika ya kumuondoa kwenye kazi yake uliyompa kwa ajili yetu.
Mpe uzima mpe uponyaji wako ili wapate kujua kuwa shetani hana mamlaka juu ya kiumbe wako hata kama wamemmiminia risasi zaidi ya ishirini, umemkinga Baba kwa muujiza wako maana bila hivyo hata hospitali asingefika akiwa hai kama walivyodhamiri hao shetani.

Nakutumaini Mungu maana hujawahi kuniangusha, nisikie na katika hili wapate kutambua kwamba shetani atendaye kinyume na kazi zako daima hatofanikiwa.

Ahsante Mungu Baba kwakuwa umenisikia na umenipa kibali kuyaomba haya kwako. Ni katika njia ya Yesu Kristu ninakushukuru.
Aamina.
Amina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
His blood will irrigate our victory.

Mungu mbariki Lisu
Mungu ibariki CHADEMA
 
Back
Top Bottom