Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ndugu wewe ni Mtz kweli? [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu wewe ni Mtz kweli? [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Muhimbili mmm!tumeambiwa muhimbili mara hii ghafla anapelekwa nairobi tena...anyway tunamuombea ahueni naimani Mungu ataeka mkono wake
STUPIDITY !Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..
HATUWEZI KULINDA SHERIA INAYOTUUMIZA. HATUWEZINKUHESHIMU MIKATABA ILOSAINIWA NAWAPIGA DILI NASISI TUENDELEE KUIABUDU .....IVI KWAN NYINYI WAPINZANI SINDO MLIKUAGA MNALALAMIKIA HIIII ????? MMEKUAJI NYINYI ????????.Serikali inayojua sheria inayovunja mikataba ovyoovyo hatimae tunaliposhwa mabilion
Serikali inayofata sheria inayokula rambirambi
Serikali inayofata sheria inayomkumbatia jambazi mwenye vyeti feki tena aliyeghushi had majina
Ndo serikali hii inayofata sheria?!
AMINAMungu amewaonyesha kuwa ni yeye mwenye maamuzi ya uhai wa mtu si binadamu
Ukimalizaga kuandika au kutamka maneno kama haya, kisha unamalizia kwa kusema kuwa hayo ni maoni yako binafsi!Ikiwa watu wanafikia hatua ya kuua mtu ili tu kumyamazisha asiongee ukweli basi tunatoka nuruni kuingia gizani
Wasali sana apone kivyovyote patachmbikaNi bora iwe kweli mana hali Ni mbaya Sana tetesi Ni nyingi mtaani!
Basi amefanya Mama yako.