DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Failed assassination attempt,We shall overcome,you cannot silence him.Let this be a chilling reminder to you.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
...wameona kwenye kioo risasi hazipenyi wakapiga kwa chini majasusi hawa....waliowatuma Watashindwa na watatangulia wao...huyu Lissu anaombewa na wanyinge wote wa taifa hili.... Atavuka tu.....inauma Sanaa......maana wanaofanya haya mambo wanajulikana....wameanza kwa kutishia silaha watu hadharani wakaachwa...sasa wanataka kuua kabisa mchana kweupe...tukio hili litazidi kuwaamsha wwatanzania dhidi ya utawala huu dhalimu...
 
Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu ameruhusiwa kutoka chumba cha upasuaji akiwa na fahamu na sasa anapelekwa Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi.
======
Taarifa zote za uhakika tutakuwa tunazitoa kila baada ya muda mfupi...
Picha HELKOPITA iliyombeba Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu ikiwa angani kuelekea Nairobi
View attachment 583481
Ninawatakia safari njema huyu jizi asije akalitungua tena helikopta.Mungu amponye mtumishi wake
 
Inasikitisha sana. Mungu msaidie mtetezi wetu wa wanyonge wa watanzania. Inauma sana.
 
Wandugu nimeshitushwa Sana na hii habari ya lisu kunusulika na lisasi.... W

Kuthubutu kumua lisu ni kuizima tochi inayoimulika Tanzania hivi sasa... No wakifanikiwa kufanya hivo amini na waambieni Tanzania tutakuwa tumeingizwa gizani mchana na usiku...

My take: hili swala lisiachiwe kuwa la chadema wala mbowe na lisu tu.. Kuna haja ya watanzania wote kwa pamoja kuungana bila ya kujalisha itikadi za kisiasa wala dini kukemea huu uovu ukome mara moja....

Tanzania ni yetu wote weka bunduki chini tubishane kwa hoja.... In Roma voice
14dcd9e1c1adf9ae4d3e5e83427b888b.jpg


b65e761919becfd6872f734bed6356a4.jpg


3f7a60ad20549023bcb52c2addf612ed.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tunafuatilia kwa karibu kumuombea kamanda apate nafuu tunamuhitaji kwenye siasa kwa kipindi hiki
 
Mungu ni mwema.....

Atayanusuru maisha ya Shujaa wetu wa Taifa letu kwa sasa............
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hata mimi haya maelezo yamenichanganya sana. Kwa kweli dereva atueleze vizuri, kwa nini aliamua kuingia nyumbani hata baada ya kugundua kuna gari linawafuatilia? Kwa nini hakurudi bungeni baada ya kugundua hilo? Na hao wauaji walipata wapi confidence ya kulifuata gari nyuma mpaka nyumbani wakati wakijua dereva angewashtukia?
Arud bungeni kwa rivas au kwa kufanyaje kwa mfano?Lissu alishasema kuwa anafatiliwa nadhan video ipo HUMU.DEREVA amejitahid alivyoweza

May Allah bless Me and You
 
Back
Top Bottom