Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa hana nia nzur na lissu mbowe huwa hapend mtu awe juu yakeLisu hawezi kumshinda Magu 2020.
Acheni kujipa matumaini ya uongo.
Ni siku ya sabato, lakiñi Naomba Mungu anisamehe kwa hilo, " wewe ni Nguruwe pori".Ni jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga.
Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu.
Bado hamjachelewa Miga na Acacia jitokezeni mmpe pole na kumchangia mtetezi wenu namba moja Tundu Lisu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni siku ya sabato, lakiñi Naomba Mungu anisamehe kwa hilo, " wewe ni Nguruwe pori".
Sent using Jamii Forums mobile app
Amefanya jambo gani kubwa la kukumbukwa, mmefanikiwa tu kwenye propaganda uchwara kama mnajiamini leteni tume ya uchaguzi kama huyo Sizonje wenu hatadondokea pua, mngemjua huku mtaani alivyochokwa mngekaa kimya tu.Sawa atakuwa candidate wa kugombea urahisi kwa ticket ya CHADEMA na UKAWA, kama huo umoja bado upo, lakini ushindi dhidi ya Magufuli hiyo sahau. Watanzania wameamka sana kwa hivi sasa. Asante Magufuli tunaona sasa nani anafaa kuwa kiongozi wa nchi yetu. Na ni kuambie tu kwa taarifa yako inawezekana Tundu Lissu akawa mpinzani maarufu sana, lakini kuwa mpinzania maarufu hakumaanishi kuwa amepata credit na watanzania kuwa kiongozi wao. Hizo ni ndoto au ni wishes zenu wana CHADEMA. Magufuli is a big number so tu kwa watanzania bali ulimwenguni.
CHADEMA bado mna njia ndefu ya kufika huko. Uchaguzi wa 2020 msitegemee kumwangusha Magufuli. Watanzania hawatasahau mambo mazito ambayo Magufuli ameyafanya. Maamuzi mazito ambayo ame ya chukua ya kulinda rasilimali zetu hata Tundu Lissu asinge weza.
Kwa jinsi ninavyo mjua yeye anonyesha kuwa bado ni kidampa wa wazungu. Aendelee kuwasujudu hao wazungu wake. Watanzania tuna msimamo mwingine wa kifikra. Taifa letu lina thamani kubwa sana kuliko pesa za hao mutant!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa atakuwa candidate wa kugombea urahisi kwa ticket ya CHADEMA na UKAWA, kama huo umoja bado upo, lakini ushindi dhidi ya Magufuli hiyo sahau. Watanzania wameamka sana kwa hivi sasa. Asante Magufuli tunaona sasa nani anafaa kuwa kiongozi wa nchi yetu. Na ni kuambie tu kwa taarifa yako inawezekana Tundu Lissu akawa mpinzani maarufu sana, lakini kuwa mpinzania maarufu hakumaanishi kuwa amepata credit na watanzania kuwa kiongozi wao. Hizo ni ndoto au ni wishes zenu wana CHADEMA. Magufuli is a big number so tu kwa watanzania bali ulimwenguni.
CHADEMA bado mna njia ndefu ya kufika huko. Uchaguzi wa 2020 msitegemee kumwangusha Magufuli. Watanzania hawatasahau mambo mazito ambayo Magufuli ameyafanya. Maamuzi mazito ambayo ame ya chukua ya kulinda rasilimali zetu hata Tundu Lissu asinge weza.
Kwa jinsi ninavyo mjua yeye anonyesha kuwa bado ni kidampa wa wazungu. Aendelee kuwasujudu hao wazungu wake. Watanzania tuna msimamo mwingine wa kifikra. Taifa letu lina thamani kubwa sana kuliko pesa za hao mutant!
Sent using Jamii Forums mobile app
Atahitaji kupambana kwanza na fisadi mliyemkaribisha Chama ni kwenu na Nina wasiwasi kama Chama hicho kitasalimika endapo mtamwondoa maana alishatangaza kuwa anayetaka kugombea ataenda kupambana naye.Kitendo cha Lissu kunusulika na kusalia kuishi hapa dunia ni dhahili Mungu anamakusudi yake!
Kwa hili sasa halihitaji ubishi, Tundu lissu ndio mpinzani mkuu wa rais Magufuli hapo 2020 na uwezo wa kushinda ni mkubwa
Kutokana na nature ya tukio alilofanyiwa TL hakika linaumiza lakini waliolifanya ndio hivyo hawajitambui, zaidi wamemjenga na kumuimarisha kisiasa kuelekea mbio za urais 2020
Lissu sasa anasikika kila kona ya nchi, kiki aliyotengenezewa na haitafutika leo wa kesho, ndivyo siasa ilivyo hivyo yaani hutegemea matukio kama kufungwa, kuishi nchi za ugenini (mkimbiz wa kisiasa) na watu wa namna hii wanaporudi nchi mwao na kuwa huru hufanikiwa sana katika siasa zao za kimapinduzi!
Get well soon TL
D.A "Mwanaume mashine"
Alimwita pia Rais Magufuli kuwa ni mdini, mkabila na mkanda so atakuwa na wajibu wa kuwaelewesha watu wa Kanda ya Ziwa walioko nyuma kimaendeleo juu ya kauli yake hiyo. Ngoja wanamsubiri.Kitendo cha Lissu kunusulika na kusalia kuishi hapa dunia ni dhahili Mungu anamakusudi yake!
Kwa hili sasa halihitaji ubishi, Tundu lissu ndio mpinzani mkuu wa rais Magufuli hapo 2020 na uwezo wa kushinda ni mkubwa
Kutokana na nature ya tukio alilofanyiwa TL hakika linaumiza lakini waliolifanya ndio hivyo hawajitambui, zaidi wamemjenga na kumuimarisha kisiasa kuelekea mbio za urais 2020
Lissu sasa anasikika kila kona ya nchi, kiki aliyotengenezewa na haitafutika leo wa kesho, ndivyo siasa ilivyo hivyo yaani hutegemea matukio kama kufungwa, kuishi nchi za ugenini (mkimbiz wa kisiasa) na watu wa namna hii wanaporudi nchi mwao na kuwa huru hufanikiwa sana katika siasa zao za kimapinduzi!
Get well soon TL
D.A "Mwanaume mashine"
Chadema wana wagombea wangapi wa uraisi 2020, tuanzie hapa kwanza!Kitendo cha Lissu kunusulika na kusalia kuishi hapa dunia ni dhahili Mungu anamakusudi yake!
Kwa hili sasa halihitaji ubishi, Tundu lissu ndio mpinzani mkuu wa rais Magufuli hapo 2020 na uwezo wa kushinda ni mkubwa
Kutokana na nature ya tukio alilofanyiwa TL hakika linaumiza lakini waliolifanya ndio hivyo hawajitambui, zaidi wamemjenga na kumuimarisha kisiasa kuelekea mbio za urais 2020
Lissu sasa anasikika kila kona ya nchi, kiki aliyotengenezewa na haitafutika leo wa kesho, ndivyo siasa ilivyo hivyo yaani hutegemea matukio kama kufungwa, kuishi nchi za ugenini (mkimbiz wa kisiasa) na watu wa namna hii wanaporudi nchi mwao na kuwa huru hufanikiwa sana katika siasa zao za kimapinduzi!
Get well soon TL
D.A "Mwanaume mashine"
si kweli..labda unazungumzia sinema..hata hvo haya maneno yako yanatokana na nini,mbona hayana uhusiano na loloteFalsafa ya maisha inasema "kipimo unachowapimia wenzako nawe utapimiwa hichohicho, utakachotenda ndicho utakachotendewa. Na huwezi kufa bila kuyaonja machungu yaleyale"
Unaposhangilia msiba wa mwenzako basi usishangae watu wakifanya sherehe katiba msiba wako
Jamani jamani, where are we headed?? Inasikitisha
RECEI post: 23286124 said:I hope ni kick ambayo na weza Sema imekuwa kicked off. Uhuni wa CDM ili tu kuichafua nchi
Kweli mkuuNi jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga.
Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu.
Bado hamjachelewa Miga na Acacia jitokezeni mmpe pole na kumchangia mtetezi wenu namba moja Tundu Lisu.
Sent using Jamii Forums mobile app
potezeaaaaaaaaboss of Zimbabwe moviesonline.ac