Sumti
JF-Expert Member
- Jan 30, 2016
- 2,342
- 2,193
Mbona mtaumia sana safari hii? Imeisha hiyoooooooooooKikao cha watu wa chama fulani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mtaumia sana safari hii? Imeisha hiyoooooooooooKikao cha watu wa chama fulani!!
Watalirudisha litakuwa live maana halitakuwa na wajenga hoja mahiri Wa kuikosoa serikali.Hilo sio bunge, bali ni mkutano wa ccm uliojigeuza bunge kwa kunajisi box la kura na umwagaji damu.
Hiyo ilikuwa ni 100% wameamua kuitaja hiyo 90% ili kutuhadaa tuone kwamba humo ndani kuna mawazo tofauti. Tuone kwamba hata mijadala yao itakua na fikra mchanganyiko. Watajitahidi sana kutuhadaa hata kwenye mijadala yao.90%!!??
Ina maana kuna wengine wamemkataa?
Ukumbi wa bunge ni wao pia!Kikao cha CCM leo kinaanza, hivi kwanini wasifanyie Kizota kwenye ukumbi wao?
View attachment 1623242
Nafikiri niya Aida.Hiyo kura ya hapana ni ya Seleman Jafo
Tuna nini sasa kama unasema hatuna bunge?Kikao cha watu wa chama fulani!!
Kuna siku utaijutia hii kauli yako na kusema bora bunge lingekuwa msetoHongera CCM na Jemedari Magufuli kutuondolea wale wahujumu nchi, matapeli wa kisiasa, pinga pinga, wazushi, wachochezi, na wafitini wakubwa.
Ni ushindi wa Tsunami kabisa huu.Mgombea Uspika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amepata kura za NDIO asilimia 99.7%, ambapo kati ya kura zote zilizopigwa, kura ya HAPANA ilikuwa moja.
Mgombea Uspika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amepata kura za NDIO asilimia 99.7%, ambapo kati ya kura zote zilizopigwa, kura ya HAPANA ilikuwa moja.