Dodoma: Ufunguzi wa Bunge la 12, Ndugai asema Bunge hilo halitakuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani


Bunge la Wabunge wenye connection. Sasa tukae mkao wa kuletewa maendeleo.
 
Hiyo sababu ya pili waliyoitoa kipindi kile ilikuwa ya kipumbavu sana.
 
Mm ndio siendag kupiga kura
 
Nyie mtakavyolifanya na fanyeni sisi hatuna munkari nalo..maana humo ndani kumejaa dhurma; Mauti, mateso!!
 
Bunge la enzi za Nyerere. Tuliokuwa hatupo duniani kipindi cha Nyerere ndo wakati wetu kujua bunge la fikra za mwenyekiti wa chama kudumu,likikuwaje.
 
Hata siku wakifuta vyama vya mageuzi wataruhusu kukaa ndani ya mita 100 za vituo vya kupigia kura wataruhusu ndani ya kituo kuingia na camera na simu na matokeo yote kujumlishiwa vituoni
 
Ilikuwa vizuri kama vikao hivi vingekuwa vinafanyika ukumbi wa chama.

Jengo la Bunge litumike kama kumbi za kukodisha kwa wanaohitaji kama vile mikutano mikubwa na sherehe za arusi. Hiyo ingetupunguzia gharama, na kupatikana kipato cha kulipia utilities na watunzaji wa jengo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani watunge na sheria ya kumlazimisha kila mtu kutazama Bunge likiwa live. Asiyetazama achapwe viboko na faini juu,
Kwa nch a
Kama huendagi kupiga kura wewe ni dhaifu wa fikra na mawozo yako ni negative
Ni bora kuonekana dhaifu kuliko kuonekana hujielew unapiga kura mgombea anakwambia hata ukipiga kura huko mm ndio ntatengeneza serikal afu ukichek katiba mkurugenz NEC anamteua yy.

Eti mpaka apo hajaelewa nyiny ndio mnasababisha waafrika tutukanwe
 
Bunge lilikuwepo kuanzia miaka ya 2000 +,hadi 2020,hili la sasa sio bunge bali ni kikao cha Chama tawala .
 
Bunge kipindi wakati wa Mwalimu Nyerere licha kwamba lilikuwa la chama kimoja lakini lilikuwa zuri kutokana na wabunge waliokuwemo na mijadala yake ilikuwa mikali.

Sasa wengi waliopo huko ni taka taka, wahuni na wasaka pesa ya kujikimu maisha yao! Wasomi uchwara na wagonga meza tu kichwani hakuna kitu! Hadhi ya Bunge imeteremka mpaka kiwango cha chini kabisa likiongozwa na huyo mgogo! Aibu sana
Bunge la enzi za Nyerere. Tuliokuwa hatupo duniani kipindi cha Nyerere ndo wakati wetu kujua bunge la fikra za mwenyekiti wa chama kudumu,likikuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…