Anonymeous
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 275
- 484
Bunge la kikao cha CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Litakuwa live..pesa ipo ya kutoshaWataruhusu na Bunge live kama tulivyotabiri.
Mishahara mtaongeza?Hongera CCM na Jemedari Magufuli kutuondolea wale wahujumu nchi, matapeli wa kisiasa, pinga pinga, wazushi, wachochezi, na wafitini wakubwa.
Eti kadema kuanzia sasa Bunge litakuwa l8kirushwa Live ili Waheshimiwa waonekane Majimboni.Hatuna Bunge hapo.
Wabunge wa CUF na Chadema mbona wamehudhuria piaHilo sio bunge ni kikao cha CCM
Ha ha ha aibu tupu, chama uozo kimesambaratika wengine waenda Kenya,wengine wamekatalia kwa balozi wa ujerumani...lini mnaandamana bila kikomo kamanda?Hatuna Bunge hapo.
Sisi ni maiti wala hajakosea. Hatuna sauti zaidi ya kufuata kinachoamuliwa bila kuhoji.kuna watu mnaandika ujinga kweli!...kwann usifikilie kabla ya kuandika, sisi n maiti!?...we kichaa kwel mkuu.
Ni kwamba bunge lina mamlaka yake kwayo kama mwanzo walikataza leo wameamua liwe live ondoa shakaNaam, kumekucha!
Spika kabla ya kuapisha wabunge awasisitiza kuwa wabunge wasiwe kimya waseme ili wasikike na vyombo vya habari waripoti na Bunge lionekane.
La kujiuliza, kwanini bunge lilopita walikataza na kuzuia lisiwe live?
Je, ile dhana ya kuwa kuonesha Bunge kutawafanya wananchi wasifanye kazi imeisha?
Ukweli mchungu eeeeh??kuna watu mnaandika ujinga kweli!...kwann usifikilie kabla ya kuandika, sisi n maiti!?...we kichaa kwel mkuu.
Aijalishi,kikubwa mmepigwa chini vibaraka wote.Wenzako wako bungeni wewe ni mshikilia pembe unaendelea kujaza page humu JF.
Hadi sasa umenizidi nini kama ni bei ya cementi inatuhusu wote think bigger.Aijalishi,kikubwa mmepigwa chini vibaraka wote.
Aida pia hakushinda kamanda?.Wabunge waiseme serikali ya Mheshimiwa Magufuli ?
hakuna mbunge hata mooja atakethubutu kuikosoa serikali,ukizingatia hakuna hata mmoja alieshinda kwa ubavu wake.
Mtazamo wako bado ni dhaifu endelea kutafakuri zaidiAida pia hakushinda kamanda?.