Dodoma: Ufunguzi wa Bunge la 12, Ndugai asema Bunge hilo halitakuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani

Dodoma: Ufunguzi wa Bunge la 12, Ndugai asema Bunge hilo halitakuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani

Kwa nch a

ni bora kuonekana dhaifu kuliko kuonekana hujielew unapiga kura mgombea anakwambia hata ukipiga kura huko mm ndio ntatengeneza serikal afu ukichek katiba mkurugenz NEC anamteua yy


Eti mpaka apo hajaelewa nyiny ndio mnasababisha waafrika tutukanwe
Sio kweli ni kwamba wewe unapotezaga haki yako ya msingi hafu unajisifu acha ujinga
 
Rejeleo la maneno yako hayana uthibiti chanya tambua mtaji wa ccm ni ilani nzuri yenye kutekelezeka na wewe pia ni dhahiri wahaya japo itakuwa mbishi
Jisome tena kama utajiekewa!Mtaji wa CCM ni wajinga na masikini kama Twaweza walivyowahi kusema!
 
Sasa bunge live,ngoja tujiandae kuona vituko SHOW.

Ila mi-ccm haijui kula na kipofu,kwa miaka hii 5 asee tutaishi kama Mizimu.
 
Sio kweli ni kwamba wewe unapotezaga haki yako ya msingi hafu unajisifu acha ujinga
Ndio maana mm nachukia kuwa mtanzania sasa unakanusha sio kwel wakat mtu kaongea hadharan na kila kitu kimesikika eti napoteza haki yangu ya msing u ajua maana ya neno haki right is anything you deserve to get ni kitu chochote unachostahili kupata sasa eti kupika kura ni haki yngu tena kwa ulivyp hamnazo ukasema eti ni haki yangu ya msingi tafuta wa kumdanganya ila sio mm semen tu mlitaka mjaze vituo vyq kupiga kura ili uchaguz uonekane fair

MM BILA KATIBA MPYA SIEND KUPIGA KURA io kauli yko ya kupiga kura ni haki yako ya msing kawaambie wamachinga ambao hata awajui maana ya neno haki
 
When the Baboons and Monkeys heard that the Man who used to chase them away from the maize field had died, they gladly celebrated. The following year, there was no maize, that was when they painfully realized the dead Man was the Farmer!

Under all conditions, learn to live with your enemies. You might reject them now but, soon, you will realize that they might be the pillars you needed_.

Not all enemies are enemies. Some are facilitators or unofficial coaches assigned to get you into shape. Others are imaginary haters.

Let's love one another despite our differences and instead of harming those you see as your enemies, try to use them to your advantage.
 
Ndio maana mm nachukia kuwa mtanzania sasa unakanusha sio kwel wakat mtu kaongea hadharan na kila kitu kimesikika eti napoteza haki yangu ya msing u ajua maana ya neno haki right is anything you deserve to get ni kitu chochote unachostahili kupata sasa eti kupika kura ni haki yngu tena kwa ulivyp hamnazo ukasema eti ni haki yangu ya msingi tafuta wa kumdanganya ila sio mm semen tu mlitaka mjaze vituo vyq kupiga kura ili uchaguz uonekane fair

MM BILA KATIBA MPYA SIEND KUPIGA KURA io kauli yko ya kupiga kura ni haki yako ya msing kawaambie wamachinga ambao hata awajui maana ya neno haki
Naomba ni kwambie yakwamba Tanzania ni nchi ambayo ina jali haki ya kila mmoja sasa sijui umenyimwa haki gani
 
Duh, Ndugai kamzidi boss wake JIWE kwa kupata 99.7 % ya kura zote ........... Wonders will never end in Bongoland!
 
Wawajibu Wananchi kwanini bei ya saruji mfuko mmoja mkoa wa geita ni tsh 42,000? Walizoea kuijibia serikali.sasa wajibu I wapigakura wenu
Hii ni njama ya wapinzani na madrama yao wanatengeneza mazingira kuonyesha serikali haifanyi kazi watanzania msidanganyike hakuna sehemu tunauza sementi bei hizo
 
Naomba ni kwambie yakwamba Tanzania ni nchi ambayo ina jali haki ya kila mmoja sasa sijui umenyimwa haki gani
Wewe nenda kapige kura 2025 mm huwez kunibadili hoja zako ni dhaifu naona unataka nikupe madini we unipe mawe swali lako silijibu sababu u luk like buku 7 upo hapa kusawazisha haramu ionekane harari
 
Haya sasa wabunge wenzangu twendeni mapumziko ad badae saa 11 jioni
 
Huyu dada wa CHADEMA hajitambui kabisa. Anachotaka ni hela ambayo licha ya kuwa ataipata lakini atakuwa mtumwa mkubwa wa kifikra ndani ya bunge.. Kwa akili yake alifikiri atakuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni. Tormentation inaendelea....
 
Back
Top Bottom