Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Wangemtoa makalio tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana sababu ya kuiacha huko.
Kweli hata wamachinga wapo upande wa wahuni.Kitu ambacho Polepole hakijui ni HANA MTAJI WA WATU wala USHAWISHI WA KISIASA.
Hivi jk alishawahi kukulawiti?ndiyo yale ya JK,
Kwanini akutangaza uchunguzi baada ya Lisu kupigwa?. Wanatumwa na polepole anajua ndiyo maana kasema waliomfanyia hivyo Mungu atamlipiaUpambe nuksi sana na hapa inabidi tujifunze kitu mama Samia hawezi kutuma watu kufanya upuuzi wa aina hiyo.
Ata kwa Magufuli ilikuwa ivyo ivyo mambo mengine ni wapambe tu; hawa watu ogopa.
Fita ni Fita Muraa. Rete petiroli Muraa nirete kuni.Vita ni vitaa muraaaah
Upinzani wa wenyewe kwa wenyewe.. by Lema."wakishatumaliza Sisi watakuja na kwenu pia"....lissu aliongea Maneno haya
Ata weweew hapa umekuwa mpambe wa Bibi tozoUpambe nuksi sana na hapa inabidi tujifunze kitu mama Samia hawezi kutuma watu kufanya upuuzi wa aina hiyo.
Ata kwa Magufuli ilikuwa ivyo ivyo mambo mengine ni wapambe tu; hawa watu ogopa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Bora mama angekua JPM angemumiminia risasi zaidi ya 16....
Na jambo zuri Polepole mwenyewe amethibitisha kuwa awamu hii ni ile ile.Hii ndio CCM aliyoiasisi Polepole na mungu wao Jiwe!!
CCM ambayo iliacha siasa za mdomo ikahamia kwenye bunduki.
CCM ya Jiwe na Pole pole ilitumia nguvu na mabavu kunyamazisha hoja na ndicho leo inamfanyia mwenyewe...
Wahenga walipata kunena kuwa ubaya hauna kwao!
Huyu Kiroboto ameishaHitimisho hili umelipataje? Kama ni kweli mbona wenzie wanamhaha; kama hana madhara kwa ccm wamuache afundishe shule yake kwani mnasema hana wafuasi!!