Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Polepole alikuwa mnufaika na kundi la Wasiojulikana, vinginevyo nguvu alizokuwa nazo angeweza kulivunjilia mbali genge hilo.

Kwakuwa alinufaika nalo acha naye limtese
 
Kama ni kweli chama kiache siasa za kipumbamvu.....sio ujinga ni upumbavu...reffer to the late J.K. Nyerere
 
Upambe nuksi sana na hapa inabidi tujifunze kitu mama Samia hawezi kutuma watu kufanya upuuzi wa aina hiyo.

Ata kwa Magufuli ilikuwa ivyo ivyo mambo mengine ni wapambe tu; hawa watu ogopa.
Kwanini akutangaza uchunguzi baada ya Lisu kupigwa?. Wanatumwa na polepole anajua ndiyo maana kasema waliomfanyia hivyo Mungu atamlipia
 
Aliwaambia wakimtibua atabwatuka sababu za kukataa kuchanja.

Humphrey Polepole na wenzake wanajua siri za nchi kuliko Mama wa Kizanzibari ambae Magu hakumuweka karibu, hamjui.

Venance Mabeyo kwenye msiba wa JPM alimwambia Samia hadharani ukitulia tuite tukueleze baadhi ya siri za nchi.

Vice President Samia Suluhu Hassan hakupewa national security clearance level ya Humprey Polepole, Athumani Diwani, Ally Bashiru, Doto James, Venance Mabeyo, Paulo Makonda, na Katibu wa Rais, Mhasibu wa Ikulu na Msemaji wa familia ya Marehemu Magufuli, Ngusa Dismass Samike, ambae Rais Samia kam ship out kuwa RAS Geita. Inamuuma sana Rais kina Polepole wanaijua nchi kumzidi.
 
Upambe nuksi sana na hapa inabidi tujifunze kitu mama Samia hawezi kutuma watu kufanya upuuzi wa aina hiyo.

Ata kwa Magufuli ilikuwa ivyo ivyo mambo mengine ni wapambe tu; hawa watu ogopa.
Ata weweew hapa umekuwa mpambe wa Bibi tozo
 
Hii ndio CCM aliyoiasisi Polepole na mungu wao Jiwe!!

CCM ambayo iliacha siasa za mdomo ikahamia kwenye bunduki.

CCM ya Jiwe na Pole pole ilitumia nguvu na mabavu kunyamazisha hoja na ndicho leo inamfanyia mwenyewe...

Wahenga walipata kunena kuwa ubaya hauna kwao!
Na jambo zuri Polepole mwenyewe amethibitisha kuwa awamu hii ni ile ile.
Nadhani wanaendeleza pale walipoishia wao.
Na bahati nzuri zaidi wameanza naye ili kuthibitisha kuwa sera za jiwe bado zipo kazini.
Siasa hazitaki hasira[emoji23]
IMG_1639326020329.jpg
 
Nadhani sasa ataelewa upinzani walikuwa wanazungumzia nn wakati yeye akiwa kwenye cheo
 
Back
Top Bottom