King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Slow slow ndiyo analala humo? Wangempasua tu huyo Mpuuzi slowslow.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe mwenye akili sawa unamchagua mama? Kwa sifa zipi? Yeye na huyo chakubanga wanatofautiana nini?Najua huna akili nzuri, yaani wewe ukiwekewa POLEPOLE MBELE YA MAMA SAMIA UNAMCHAGUA CHAKUBANGA?
Mkuu akili yako haiko sawia.
Siyo lazima afanyiwe hivyoKweni amelawitiwa?
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
👇Katika uchambuzi wa hali ya kisiasa na kijamii ya nchini Tanzania , mchambuzi wa sayansi ya siasa, utawala bora , demokrasia ambaye pia ni kiongozi mstaafu wa Pan Africanism ( umajinui wa bara afrika) msomi na mwanasheria Jenerali Ulimwengu alionesha hofu kuwa nchi imefika pabaya sana
Hakuna anatafuta Kik aendezake mnafiki huyoHabari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
Ashawahi kazwa nae labda, maana kila uchao kumshambulia mzee wa watu.Hivi jk alishawahi kukulawiti?
Chokochoko za kisiasakafanya kosa gani mkuu?
Mmmh mmmh mmmhhAliwaambia wakimtibua atabwatuka sababu za kukataa kuchanja.
Humphrey Polepole na wenzake wanajua siri za nchi kuliko Mama wa Kizanzibari ambae Magu hakumuweka karibu, hamjui.
Venance Mabeyo kwenye msiba wa JPM alimwambia Samia ukitulia njoo tukueleze baadhi ya siri.
Vice President Samia Suluhu Hassan hakupewa national security clearance ya level ya Polepole, Bashiru, Doto James, Mabeyo na Katibu Mkuu Ikulu ambae Samia kam ship out kwenda u RAS Geita. Inamuuma sana Samia.
Anatafuta kiki huyo mhuni.Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
Umemuelewa lakini aliposema kuna wahuni ndani ya chama?Heshim na kutii mamlaka
Serikali ya mwenzako unasema ina wahuni
We nani ???
Usishindane na serikali bwashehh
Ova
Hao makunguni walicheka sana sasa wanavuna walichopanda"wakishatumaliza Sisi watakuja na kwenu pia"....lissu aliongea Maneno haya
Na Condom yenye kinyesi je imekutwa?Imekutwa KY kwenye chumba Cha jamaa
Ukute alizulumu mali za watu wamekuja kuchukua chao yeye anadanganya watu kaibiwaPole pole amerudi nyumbani amelewa, akaficha tv na kuvuruga nyumba kisha akasema kapekuliwa na kuibiwa.....
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847