Kama haikuchafuka wakati watu wanatekwa, wanapotezwa, wanauawa kwa ushiriki wa Polepole, na uongozi wa Bashite, itaharibika kwa Polepole kuacha kutandika kitanda chake na kuacha vitu chumbani bila mpangilio?Suala hili litahafua taswira ya nchi.
Polisi Dodoma walishughulikie haraka