Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Kwani yeye polepole hana maovu?Polepole anapaswa ajikaze, lile kundi la wahanga wa Magufuli wanaonekana kujipanga, nimemsikia mzee mwingine leo kajitokeza.
Anapaswa akubali matokeo mbaya zaidi ameahidi kuwaanika baadhi yao, so hii inaweza kuwa wanamuwahi kumnyamazisha ili asianike siri zao
Ni hatari sana.