Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Slow slow ndiyo analala humo? Wangempasua tu huyo Mpuuzi slowslow.
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa


View attachment 2041847

👇

07 December 2021

Jenerali Ulimwengu: Tofauti za mawazo siyo uadui, kukubaliana kutofautiana ndiyo ustaarabu.


Tanzania tumefika hatua mbaya sana , Jenerali Ulimwengu Amlipua Tena Spika Job Ndugai, tumefikia Kutishana, kutofautiana Mawazo Si Uadui,wakina Sabaya Bado Wapo

Madaraka ya kukataza siasa, rais hana mamlaka hayo kikatiba . Hali matamko (lawlessness) ya kutokuwa na uhalali yanapendwa na viongozi wa sasa .... na utamaduni huo hatari unaanza kuzoeleka katika jamii kuanzia juu mpaka chini .. ni tatizo ...
Source : Mubashara Studio
 
Mmmh mmmh mmmhh
 
Haya ndo maeneo nayomkumbuka Jiwe enzi zake kwa kejeli za Polepole saizi tungekuwa tunazika ama hajulikani alipo.
 
Heshim na kutii mamlaka

Serikali ya mwenzako unasema ina wahuni

We nani ???

Usishindane na serikali bwashehh

Ova
Umemuelewa lakini aliposema kuna wahuni ndani ya chama?
 
Pole pole amerudi nyumbani amelewa, akaficha tv na kuvuruga nyumba kisha akasema kapekuliwa na kuibiwa.....
Ukute alizulumu mali za watu wamekuja kuchukua chao yeye anadanganya watu kaibiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…