Mambo ya kujitekenya mwenyewe alafu unaangua kicheko ni ushamba tu..!! Tumechoshwa na sinema zenuHabari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya...
Nonsensical post, hivi Katibu mwenezi wa Ccm taifa anahusika na kutoa amri watu washughulikiwe?Karma is a bitch .
Wakati kina Nape wanashikiwa bastola alikuwa anachekea ,kina lissu wanapigwa risasi anaona poa...
Ooooh Serikali yetu hii .. kila lakheri Polepole usikate tamaaHabari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
=====
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,
Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha
Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo
"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.
View attachment 2042259
Karma is a bitch .
Wakati kina Nape wanashikiwa bastola alikuwa anachekea ,kina lissu wanapigwa risasi anaona poa .
Ni funzo kubwa ,alisema kwa kejeli Lissu anakaa na bwana zake kakimbia nchi ,Mbowe alivunjwa mguu akasema alikuwa amelewa faru John akaanguka . Hata kama ni serious kweli sisi tunasema umelewa Double Kick ukavuruga sebule ili useme umevamiwa.
ukiona watu wameanza kuitana viroboto ujue hali sasa ndani ya ccm si shwari.kama kuna wenye ccm na wasio na ccm si kitu tutaona at the end.Maza hataki kukosolewa na viroboto
anataka kuchafua Siri Kali anatumiwa na mabeberu..Karma is a bitch .
Wakati kina Nape wanashikiwa bastola alikuwa anachekea ,kina lissu wanapigwa risasi anaona poa .
Ni funzo kubwa ,alisema kwa kejeli Lissu anakaa na bwana zake kakimbia nchi ,Mbowe alivunjwa mguu akasema alikuwa amelewa faru John akaanguka . Hata kama ni serious kweli sisi tunasema umelewa Double Kick ukavuruga sebule ili useme umevamiwa.
Kwaiyo ata kutolewa camera kwenye nyumba aliyokua anakaa Lissu na kusema msaliti Katikati ya Vita ni wa kuuwawa bado hausiki..alichukua hatua gani makonda alivyo vamia cloudsUpambe nuksi sana na hapa inabidi tujifunze kitu mama Samia hawezi kutuma watu kufanya upuuzi wa aina hiyo.
Ata kwa Magufuli ilikuwa ivyo ivyo mambo mengine ni wapambe tu; hawa watu ogopa.
Ufalme uliofitinika hauwezi kusimama daimaHabari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ...
Bashiru Kichwa, yupo vizuri sana, ni vile tu alivurugwa na Jiwe kama wengine wengi waliovurugwa miaka 5 iliyopita, soon atakumbukwa na Bi Mkubwa. Ila siyo huyu Kiroboto, hafai kabisa, Kigeugeu! Kuna viroboto 3; 2015 kushuka chini, 2016 hadi kifo cha Jiwe, na huyu wa sasa!! Mtu mmoja versions zaidi ya 3 ndani ya miaka 7Bado bashiru kuvamiwa
Mimi nilitamani wasepe na Mr. Slow Ili maana Ile ya malipo hapa hapaa duniani itimie na impe funzo Kwa matendo na mameno yake Kwa wengine.It is never personal kati yangu na Bi Tozo
Japo naunga uhuru wa Polepole, ila kwenye hili tukio naona kama vibaka tu wametumwa na wahuni.
Sidhani watu wa serikali wana njaa ya kuondoka na TV.
Kweli wanaomfahamu huyu jamaa watujuze, huyu Hana familia?Kwani Polepole bado ni mseja? Hapo nyumbani hawakukuta hata katoto kadogo na kasichana ka kazi?