Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Zinaibiwa ila sio na vibakaSehemu ikiwa na walinzi hua haiwezekani kwa wezi kuiba?
Unauliza hirizi Tanga?Kwa hiyo wametumwa na serikali ya sasa?
Na ndio maana kipindi kile waislam walipigwa bit kuomba dua juu ya kilichofanyika kwa tundu lisu...Mungu huyu kweli hapokei rushwa! Badala yake wakatangulia waoNani atawatuma zaidi yake? Hivi boss unadhani sisi ni wajinga hatujui lolote? Kama uhalifu wa kiongozi wa juu hauna baraka za rais lazima uchunguzi wa kina ufanyike. Lakini ukiona uhalifu wowote unafanyika dhidi ya kiongozi mkosoaji wa serikali na kusichukuliwe hatua stahiki, basi kuna baraka zote za rais. Hii kubali kataa lakini habari ndio hiyo.
Mkuu unahakika na unacho kinena au unatulisha matango pori tu.Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
Sana mkuu, yaani mafisadi wameshika nchi ndiyo yale ya JK, ukiwagusa watu fulani nchi haiwezi kutawalika. Mungu atasikia machozi yetu. Na lazima wazalendo tushinde!Vita ya kiuchumi ni ngumu sana...
Naam, kiroboto amefikishiwa ujumbe kuwa "Twanga Pepeta lina wenyewe"Kina wenyewe