Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Hivi yule mwenye roho mbaya leo anahutubia wapi?
 
Mliopo Dodoma tupeni mrejesho/update I'll tujue pia kituo gani cha tv kitarusha live
 
Vipi? Lissu haongozani na wasanii wowote?
Mliopo Dodoma mtuhabarishe.
 
Updates plz. Maana huku kwetu hata umeme hatuna.
 

emoj ya kucheka iko wapi nicheke mm
 
Tupia na picha Molemo.
 
Kila la heri wana wa idodomia kumpokea Rais Tundu Lissu
 
Are you sure what are talking? Hivi kwa akili zako zilivyo ndogo uwingi wa watu ndio ushindi? Sasa kwa taarifa yako kwenye huo uwingi wako wapiga kura ni 50% tu, na 50% iliyobaki 20% ni vijana wenye umri kati ya miaka 15 na 17 na miezi. Na waliobaki hawajajiandikisha.
 
Jibu murua hili. I like it
 
Nyie Molemo nyie nina hasira na nyie? Inakuwaje kitengo chenu cha habari kinapwaya namna hii mpaka tunachekwa na mataahira ya Lumumba? Mnashindwa hata kumtengenezea visibility mgombea wetu? Sijaona banner hata moja ya mh. Lissu nini maana yake? Natoa tena ushauri wa bure, tengenezeni picha nyingi za Lissu zisambazwe kwa wagombea ubunge na udiwani kila mmoja awe nayo anapokuwa anahutubia mkutano wa kampeni ameibebele kabisa na anawaelewesha wananchi nini cha kufanya siku ya kupiga kura. Vijijini raia hawamjui Lissu kwa sura. Kuhusu live stream nini kimewashinda? Mnashindwa hata kutumia vijana waliomaliza IT ambao wako mitaani hawana kazi mkawaajiri kwa miezi hii miwili wakawa busy kwenye youtube na kadhalika? Mwambieni mwenyekiti asibanie hiyo hela aliyokuwa anawakata wabunge wetu kwa miaka yote mitano! Uchaguzi ni gharama lazima tukubali kuingia gharama! Safari hii tukishindwa kumtoa mkoloni mweusi bora mimi nirudi tu nikajiunge nayo!
 
Kwa mara ya kwanza jana ITV imevunja rekodi ya kutazamwa , waliangaliwa na mamilioni ya watu duniani kutokana na mahojiano yao na Lissu
Na haya ndio yanapelekea ITV kuwa supa brand huku tiibiisii ikiendelea kutafuna ruzuku za wananchi pasipo manufaa wala kujiendesha!!! Mpaka leo wana vichaneli viwili aibu kabisa yani wanazidiwa hata na Azam wenye chanel nyingi
 
Ila Wa mboga mboga wale wote wamejiandiksha?
Ukiwa CCM unakuwa na roho mbaya sikjui kwa nin!
 
tatizo mkiambiwa mlete na picha za matukio mnatuletea picha za mikutano ya lowassa huyo tu ndiyo alikuwa na uwezo wa kujaza nyomi za watu huyo tobo wenu hana lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…