Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Maraisi wa safari hii ahadi zao kiboko, kuna mmoja kahaidi kuhalalisha Ushoga, mwingine kahaidi kutoa Ubwabwa!!
Huyu Mbeligiji ndiyo ameahidi hivyo, kama anapenda hayo mambo aanze kwanza kufyatuliwa yeye mtaro.
 
WanaJF

Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuzindua kampeni katika Kanda ya Kati mkoani Dodoma.

Rais huyo mtarajiwa wa Tanzania ataambatana na mgombea Mwenza Salum Mwalimu, Katibu Mkuu John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu

Tayari Kuna pilikapilika kubwa hapa jijini Dodoma kuhusu ujio wake na maandamano makubwa ya kumpokea na Mkutano wake katika Uwanja wa Uhuru unatarajiwa kuvunja Rekodi kwa wingi wa watu

Lissu ambaye Watanzania wamembatiza jina la 'Charismatic Leader' amekuwa akilakiwa na Maelfu kwa Malaki ya watu popote anakopita ikiashiria kuzoa wingi wa kura katika uchaguzi mkuu wa October 28

Tutaendelea kuwapa taarifa kwa kila kitakachoendelea
Tuma picha acha propaganda kwa taarifa Mkoa wa Dodoma mzima hampati hata Diwani mmoja.
 
Aibu ya mwaka inakwenda kuwakumba Chadema hapo Dodoma.
Kwa nini? Au unaona wagogo wengi hawajielewi?
Acha kudharau wagogo, sio wote kwamba wana akili kama Ndugai au Lusinde. Pia Dodoma kuna vyuo vya wasomi na waajiriwa wengi ambao kwao CCM na sawa na ugonjwa wa ukoma
 
Huyu jamaa kampeni zake anafanyia mijini pekee
We kijana akili yako ni ndogo sana, inaelekea hata kuelimishwa kwako kunakofanyika hapa JF ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
Sasa hivi Lissu anazunguka kuzindua kampeni kwa kanda kisha muziki wa wilaya kwa wilaya utafuata.
Vipi Madilu System wenu pumzi imekata? Maana nasikia anapigishwa magoti jukwaani na vijana wa Singeli naye anaingia king mzimamzima!
Anacheza na wahuni wa Mbagala?!!
 
Huyo ndiye rais wetu wa awamu ya sita
Na sio ajabu kwa tutakayo yaona ya Taifa letu kurudisha heshima duniani tunaweza kujikuta tunapiga magoti na kumuuliza Mungu, "kwanini hukutupatia huyu MTU tokea awamu ya pili baada ya Nyerere?"
 
Hizo bendera za CCM wanazolazimishwa Wafungwa wa kubambikiwa kesi wakazifunge

Bendera za CHADEMA ni kama Mauaridi zinapeperushwa mioyoni mwetu na hizo unazoziona ni Chache zisikudanganganye
2015 hizo bendera hazikua moyoni? Maana zilikua zinapepea mpaka mitaani

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
2015 hizo bendera hazikua moyoni? Maana zilikua zinapepea mpaka mitaani

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Tunapigwa vita ya wazi na vyombo vya dola tunazuiwa kufanya siasa Kikwete alikuwa ni mwanademokrasia kwelikweli
Ila sasa hamjui hasira zilizoko mioyoni Mwa Watanzania ni kwenye box la kura
 
Chama cha JF,
Studio wanaendelea kutafuta picha nyomi za Lowasa, kisha kuzi edit na kuzituma whatsap groups kwa maelezo, " Tundu Lissu Afrika Dodoma"!
Hata Wewe unatakiwa kuedit hii coment yako!
 
kwakua nipo njiani na nimeuliza kwa mtu aliyepo dodoma nimeambiwa LISU atawasili saa kumi
 
Na sio ajabu kwa tutakayo yaona ya Taifa letu kurudisha heshima duniani tunaweza kujikuta tunapiga magoti na kumuuliza Mungu, "kwanini hukutupatia huyu MTU tokea awamu ya pili baada ya Nyerere?"
Hakika mkuu
 
Aibu ya mwaka inakwenda kuwakumba Chadema hapo Dodoma.
We uzao wa yule ibilisi kwanini unapenda kuombea wengine mabaya badala ya mema? Aibu unayosema mnataka tena kummaliza kwa risasi au? Anyway, uzao wa 'yule mwovu' huwa wanawaza damu tu siku zote
 
Uongo mtakatifu kabisa. mimi nipo Dodoma mbona sijaona hizo pilikapilika za maandamano. Kwanza, hakuna bendera hata moja za Chadema mji mzima umejaa bendera za CCM. Halafu nahisi uchaguzi huu Chadema hata pesa ya kununulia bendera hamna.
Delete ccm Oct 28
 
Back
Top Bottom