johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Labda wa Tff!Lissu ndiye Rais wenu kuanzia October
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wa Tff!Lissu ndiye Rais wenu kuanzia October
Anakuwa kama kuku anayetaka kutaga kwa mara ya kwanzaNaona unatafuta ya kubuni angalau uhalalishe buku 7,Wewe ratiba ya CHADEMA UNAIJUA,YAKUWASHIANI!
Hakuna lolote jipya Chadema itakalofanya kwa watanzania. Saccos yenye kuongozwa na kakikundi cha watu, walafi wa madaraka halafu tuwape mama Tanzania 🇹🇿 hapana. Safari hii mtapata aibu ya mwaka, tangia Chadema izaliwe ili iwe funzo.Chadema ndo chama pekee Tanzania chenye Sera ambazo zimelenga kuivusha Tanzania na mtu pekee mwenye uwezo kuongoza Tanzania mpya ni Lissu pekee yake kuna mwingine anajigamba anapambana na ufisadi wakati yeye amejenga uwanja wa ndege wa Kimataifa nyumbani kwake mpaka mbuga ya wanyama amehamishia nyumbani yake ni ulevi wa madaraka #NIYEYE
Nw you talk, nisamehe mkuu, kumbe wewe ni mwenzangu uliejificha! Nimefarijika hapo uliposema ' Meko sasahivi anatia huruma, analialia nae apewe miaka kumi( 10 ).'Meko anakwambia "Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27(badala ya miaka 24), akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi"
Hizi kauli za kutia huruma ni ishara kwamba pumzi imeanza kukata rasmi.
Ungemuwacha aendelee kuidanganya nafsi yakeMkuu hufatilii taarifa zao!
Hii ni awamu ya kwanza ambapo wanazindua kampeni kwa kuzungukia kanda zao. Then baada ya hapo ndo wataanza kwa kila jimbo kimtawanyiko
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nw you talk, nisamehe mkuu, kumbe wewe ni mwenzangu uliejificha! Nimefarijika hapo uliposema ' Meko sasahivi anatia huruma, analialia nae apewe miaka kumi( 10 ).'
Hutaki au?hizo statistic umezitoa wapi mkuu
Alishasema yeye ni kichaa, nani atakubali kumpa kichaa rungu jipya ?Nw you talk, nisamehe mkuu, kumbe wewe ni mwenzangu uliejificha! Nimefarijika hapo uliposema ' Meko sasahivi anatia huruma, analialia nae apewe miaka kumi( 10 ).'
Wacha kutuingizia wafuga free masons kwenye uzi wa wazalendo wa kweli wa Tanzaniaimepita record ya Diamond.... ndio alikuwa na live viewers wengi
Mtaishiwa hata la kusema safari hiiKwa hiyo hao watu tunaowaona ambao ni wachache sana kumbe wametoka mikoa yote iliyoko kwenye kanda husika aisee mbona wachache aibu loo
Jana niliUsipime Lissu sasa hivi ni gumzo bila wasanii anakubalika. Yule mwingine ngoja ajazane na kina x maana wananchi wanahitaji burudani halafu akishaanza na masuala ya ndege wanazururazura kutafuta barafu
Halafu mimi niko na njaa ya ubwabwaRungwe yuko wapi? Mbona anatufanyia hivi wafuasi wake?
Wacha kutuingizia wafuga free masons kwenye uzi wa wazalendo wa kweli wa Tanzania
Cdm hatuna muda na wafuga free masons[emoji3][emoji3]data tu mkuu... comparison
Maraisi wa safari hii ahadi zao kiboko, kuna mmoja kahaidi kuhalalisha Ushoga, mwingine kahaidi kutoa Ubwabwa!!Jana nili
Halafu mimi niko na njaa ya ubwabwa