Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Chadema ndo chama pekee Tanzania chenye Sera ambazo zimelenga kuivusha Tanzania na mtu pekee mwenye uwezo kuongoza Tanzania mpya ni Lissu pekee yake kuna mwingine anajigamba anapambana na ufisadi wakati yeye amejenga uwanja wa ndege wa Kimataifa nyumbani kwake mpaka mbuga ya wanyama amehamishia nyumbani yake ni ulevi wa madaraka #NIYEYE
Hakuna lolote jipya Chadema itakalofanya kwa watanzania. Saccos yenye kuongozwa na kakikundi cha watu, walafi wa madaraka halafu tuwape mama Tanzania 🇹🇿 hapana. Safari hii mtapata aibu ya mwaka, tangia Chadema izaliwe ili iwe funzo.
 
Meko anakwambia "Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27(badala ya miaka 24), akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi"

Hizi kauli za kutia huruma ni ishara kwamba pumzi imeanza kukata rasmi.
Nw you talk, nisamehe mkuu, kumbe wewe ni mwenzangu uliejificha! Nimefarijika hapo uliposema ' Meko sasahivi anatia huruma, analialia nae apewe miaka kumi( 10 ).'
 
Mkuu hufatilii taarifa zao!

Hii ni awamu ya kwanza ambapo wanazindua kampeni kwa kuzungukia kanda zao. Then baada ya hapo ndo wataanza kwa kila jimbo kimtawanyiko
Ungemuwacha aendelee kuidanganya nafsi yake
 
Nw you talk, nisamehe mkuu, kumbe wewe ni mwenzangu uliejificha! Nimefarijika hapo uliposema ' Meko sasahivi anatia huruma, analialia nae apewe miaka kumi( 10 ).'
Alishasema yeye ni kichaa, nani atakubali kumpa kichaa rungu jipya ?
 
Kwa hiyo hao watu tunaowaona ambao ni wachache sana kumbe wametoka mikoa yote iliyoko kwenye kanda husika aisee mbona wachache aibu loo
Mtaishiwa hata la kusema safari hii
 
Shida ni kama vyombo vya habari vimefungwa speed governor kwenye suala la kuripoti mikutano ya upinzani makini hivyo kupelekea opposition kuwa na mlima mkubwa kupanda kinachowapa nguvu ni umma watu wengi tunataka mabadiliko na pesa mtaani irudi
 
Kwanilivyo mfuatilia jana kweli lissu ni mtu sahihi kuwa rais maana rais muangalie anavyo ongea sio kama malaika mfagiaji mara mkubwa wa malaika mara mm ni jiwe
 
Usipime Lissu sasa hivi ni gumzo bila wasanii anakubalika. Yule mwingine ngoja ajazane na kina x maana wananchi wanahitaji burudani halafu akishaanza na masuala ya ndege wanazururazura kutafuta barafu
Jana nili
Rungwe yuko wapi? Mbona anatufanyia hivi wafuasi wake?
Halafu mimi niko na njaa ya ubwabwa
 
Yeaaaah ni YEYE charismatic leader .[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Back
Top Bottom