Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Dodoma ipi hiyo? Maana mimi nipo hapa mjini kati sijaona, Labda kama bado maana naona kila kitu cha kawaida? SIJUI LABDA BAADAYE, ngoja niendelee kuvuta SUBIRA.
We nyati kwako Ni porini, unajuaje ya mjini, kwenye kampeni ya raisi mtarajiwa
 
Chadema mmeingia Rasmi kwenye ccm zone , jiandaeni kukuta watu wasiozidi 20 kwenye mkutano wenu.
 
Aibu ya mwaka inakwenda kuwakumba Chadema hapo Dodoma.
Hakika mkuu.
JamiiForums-879927817_641x534.jpg
 
Huo mkutano Chadema mumemuonea Nyalandu. Mbona wagombea wengine wa kilimanjaro mikutano ya Lisu mlifanyia kwenye majimbo yao ku wa boost kwa wapiga kura wao mfano ni kwa Mrema Segerea,kwa Halima Mdee kawe na kwa Godbless Lema Arusha.
Kwa nini mfanyie Dodoma mjini na si jimboni kwa Nyalandu? Roho mbaya na ukabila
Utakufa kwa pressure!Na bado mpaka kampeni zifikie tamati utakuwa unavaa chupi kichwani!
 
Kauli mbiu ya Uhuru, haki, na maendeleo ya watu inawaingia watz taratiiiibu kufika 0oct. 28 nchi itazizima

Mi binafsi Kama mjasiliamali nimemwelewa Lisu Kura yangu atazipata asubuhi mapema,

TRA, Sumatra, Trafic Sasa baasi
Huna hata kadi ya mpiga kura
 
wenzako wako TCRA wanapanga namna ya kuikomesha ITV wewe unakenua tu meno ! zile DK 45 zimeharibu ccm kwa 96% , si mchezo .

Nilikuwa pub fulani hivi muda ule , kuna mtu kanywa bia 7 kwa nusu saa tu bila kujielewa kutokana na nondo za Lissu , uzuri ni kwamba alipoletewa bili hakubisha
Tutawakomesha na huyu lissu wenu
 
Chadema mmeingia Rasmi kwenye ccm zone , jiandaeni kukuta watu wasiozidi 20 kwenye mkutano wenu.
Ushirini ?! Mimi,mke wangu,Dada wa kazi na majirani 5 tumejiandaa kwenda kumsikiliza mbeba maono kijiwe Cha boda hapa Kwetu wote wanaoenda ...kwa utabiri wako tayari upo sahihi ...Taga Jike!
 
Back
Top Bottom