Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Utapata maradhi ya moyo!Aibu ya mwaka inakwenda kuwakumba Chadema hapo Dodoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapata maradhi ya moyo!Aibu ya mwaka inakwenda kuwakumba Chadema hapo Dodoma.
Lazima watoroke, maana kwenda kwa Lissu nikuweka Historia, CCM nikama koloni mamboleo.Tunawaomba sana wafanyakazi msitoroke makazini
We nyati kwako Ni porini, unajuaje ya mjini, kwenye kampeni ya raisi mtarajiwaDodoma ipi hiyo? Maana mimi nipo hapa mjini kati sijaona, Labda kama bado maana naona kila kitu cha kawaida? SIJUI LABDA BAADAYE, ngoja niendelee kuvuta SUBIRA.
Siyo Magufuli tena !imepita record ya Diamond.... ndio alikuwa na live viewers wengi
Hakika mkuu.Aibu ya mwaka inakwenda kuwakumba Chadema hapo Dodoma.
Huu uwanja upo sehemu gani DodomaNpo uwanjani saiv kwakweli hamasa ni kubwa hapa Dodoma mji mzima habari ni ujio wa Lisu leo #niyeye2020
Utakufa kwa pressure!Na bado mpaka kampeni zifikie tamati utakuwa unavaa chupi kichwani!Huo mkutano Chadema mumemuonea Nyalandu. Mbona wagombea wengine wa kilimanjaro mikutano ya Lisu mlifanyia kwenye majimbo yao ku wa boost kwa wapiga kura wao mfano ni kwa Mrema Segerea,kwa Halima Mdee kawe na kwa Godbless Lema Arusha.
Kwa nini mfanyie Dodoma mjini na si jimboni kwa Nyalandu? Roho mbaya na ukabila
Huna hata kadi ya mpiga kuraKauli mbiu ya Uhuru, haki, na maendeleo ya watu inawaingia watz taratiiiibu kufika 0oct. 28 nchi itazizima
Mi binafsi Kama mjasiliamali nimemwelewa Lisu Kura yangu atazipata asubuhi mapema,
TRA, Sumatra, Trafic Sasa baasi
Miradi ya ndege ni liability. It is a pride business; and for Pyrrhic victory. Shame on Magu-fail for his myopic vision.Pesa ya kumsomesha mwanae elimu bure kuwa inatokana na hizo ndege Hilo nalo haiwezi Elewa?
Siyo Magufuli tena !
Acha ndoto hizo, zitakuletea msongo wa mawazoHuyo ndiye rais wetu wa awamu ya sita
Aibu ya mwaka inakwenda kuwakumba Chadema hapo Dodoma.
NI YEYE MAGUFULINI YEYE [emoji123][emoji3577][emoji3577][emoji179][emoji179]
Tutawakomesha na huyu lissu wenuwenzako wako TCRA wanapanga namna ya kuikomesha ITV wewe unakenua tu meno ! zile DK 45 zimeharibu ccm kwa 96% , si mchezo .
Nilikuwa pub fulani hivi muda ule , kuna mtu kanywa bia 7 kwa nusu saa tu bila kujielewa kutokana na nondo za Lissu , uzuri ni kwamba alipoletewa bili hakubisha
Magufuli ni mzalendo haswaaaaaKishaanza kucheza Singeli
Ushirini ?! Mimi,mke wangu,Dada wa kazi na majirani 5 tumejiandaa kwenda kumsikiliza mbeba maono kijiwe Cha boda hapa Kwetu wote wanaoenda ...kwa utabiri wako tayari upo sahihi ...Taga Jike!Chadema mmeingia Rasmi kwenye ccm zone , jiandaeni kukuta watu wasiozidi 20 kwenye mkutano wenu.
Hawa Mataga wa Chadema wamepagawa.Dodoma ipi hiyo? Maana mimi nipo hapa mjini kati sijaona, Labda kama bado maana naona kila kitu cha kawaida? SIJUI LABDA BAADAYE, ngoja niendelee kuvuta SUBIRA.
kipindi hichi cha itv ni fulsa kwa wagombea wote hata jpm aende tu akamwage nondo TCRA inabidi kuwa wapole , mkifanya mizengwe mnaharibu zaidiNa mimi nimewaza hivyo hivyo kuwa sooner or later ITV wataundiwa zengwe