Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wenzako wako TCRA wanapanga namna ya kuikomesha ITV wewe unakenua tu meno ! zile DK 45 zimeharibu ccm kwa 96% , si mchezo .Kwahiyo Lisu amepata wafuasi milion 80 kama wale aliopata baada ya kihojiwa hardtalk ya bbc?
Nilikuwa pub fulani hivi muda ule , kuna mtu kanywa bia 7 kwa nusu saa tu bila kujielewa kutokana na nondo za Lissu , uzuri ni kwamba alipoletewa bili hakubisha