- Thread starter
- #61
Mwanahabari kwa vile uko kwenye msafara wa mgombea Urais picha najua zitakuja ontime.Sisi wengine tayari tupo Dodoma kumlaki Rais LissuTutaziweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanahabari kwa vile uko kwenye msafara wa mgombea Urais picha najua zitakuja ontime.Sisi wengine tayari tupo Dodoma kumlaki Rais LissuTutaziweka
Siku hizi siwezi kubishana na watu wenye uelewa mdogo kama wako. Tufanye yameisha ChiefWawafungie kwa Lipi? Lisu aliongea vitu vya kawaida vya chini vilivyo below sea level. Wala hakuongea chochote kizito
Ha haa haaaJana kawaagiza wafuasi wake kuwa muwe mnatembea na ndizi mbivu tayari kwa kuufinya wali.
Bure ? Kumsaidia mtu kulipa elfu ishirini alafu kumyima mkopo (key word mkopo sio grant) ya kuanzia milioni mbili ili asome chuo ni bure ya aina gani ?, au neno bure limebadilika siku hizi.Pesa ya kumsomesha mwanae elimu bure kuwa inatokana na hizo ndege Hilo nalo haiwezi Elewa?
Naona unatafuta ya kubuni angalau uhalalishe buku 7,Wewe ratiba ya CHADEMA UNAIJUA,YAKUWASHIANI!Huo mkutano Chadema mumemuonea Nyalandu. Mbona wagombea wengine wa kilimanjaro mikutano ya Lisu mlifanyia kwenye majimbo yao ku wa boost kwa wapiga kura wao mfano ni kwa Mrema Segerea,kwa Halima Mdee kawe na kwa Godbless Lema Arusha.
Kwa nini mfanyie Dodoma mjini na si jimboni kwa Nyalandu? Roho mbaya na ukabila
Mkuu hufatilii taarifa zao!Huyu jamaa kampeni zake anafanyia mijini pekee
hizo statistic umezitoa wapi mkuuKwa mara ya kwanza jana ITV imevunja rekodi ya kutazamwa , waliangaliwa na mamilioni ya watu duniani kutokana na mahojiano yao na Lissu
Kwa mara ya kwanza jana ITV imevunja rekodi ya kutazamwa , waliangaliwa na mamilioni ya watu duniani kutokana na mahojiano yao na Lissu
Kwa hiyo hao watu tunaowaona ambao ni wachache sana kumbe wametoka mikoa yote iliyoko kwenye kanda husika aisee mbona wachache aibu looMkuu hufatilii taarifa zao!
Hii ni awamu ya kwanza ambapo wanazindua kampeni kwa kuzungukia kanda zao. Then baada ya hapo ndo wataanza kwa kila jimbo kimtawanyiko
Aibu kwa jambo gani?Aibu ya mwaka inakwenda kuwakumba Chadema hapo Dodoma.
Upo sahihi, Lissu kashashinda Chamsingi, ninamna ya kuulinda ushindi.Alafu wanakwenda kwa hiali yao bila kushirutishwa na mkuu wa chuo
Upo sahihi, Lissu kashashinda Chamsingi, ninamna ya kuulinda ushindi.
Npo uwanjani saiv kwakweli hamasa ni kubwa hapa Dodoma mji mzima habari ni ujio wa Lisu leo #niyeye2020
Unammisi wewe mwenyewe. Sisi tupo na Lissu.Tuna miss upinzani wa Lowassa...
nchi ilitetema...
huyu sasa dah....
Haswaaaaahaya tuzidi kumsifu kwa nyimbo na mapambio[emoji3]