Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Read your messages brother!
 

Kunywa chochote hapo kwa mangi nakuja kulipa. Big up sana.
 
Tahadhari zote zimechukuliwa
 
Chadema leo inatarajiwa kutoa ratiba njia atakazopita mtetezi huyo wa wanyonge na Msemaji wa wasio na sauti ili walau watu kujipanga majiani kumsalimia na kumsindikiza.
Sasa hayo kasema Lissu?
Kumbe #1 akiwa na uwezo mdogo wa kuelewa basi hata wanaomuunga mkono lazima wawe kama yeye?
 
Binafsi sioni dhambi vyama vyote kumuunga mkono Magufuli amalize kipindi chake. Otherwise ni kupoteza fedha na rasilimali. Uchaguzi si vita, bali mchezo wa hesabu. Namba zilishagoma kwingine.
 
Mkuu hv una mwamini kweli huyo mtu?? Huyo ni bia yangu ujue ..ratiba iko hvyo wala hiyo sikukuu haiwezi kuvuluga ratiba za NEC ...mpuuze tu huyo bia yangu

Ni kweli usemayo, ila kesho ni siku kuu kweli, na ifahamike kuwa cdm ni mtoto wa kambo. Ndio maana nimeomba Molemo atuhakikishie kuwepo kwa zoezi hilo, bila kuathiriwa na hiyo public holiday.
 
Endelea kulala wewe!
 
Mfano suala la corona. Aachane nalo kabisa lakini namna anavyoli address litampoteza.
 
Jiwe lenu mwaka huu, ndo Basi tena
 
Binafsi sioni dhambi vyama vyote kumuunga mkono Magufuli amalize kipindi chake. Otherwise ni kupoteza fedha na rasilimali. Uchaguzi si vita, bali mchezo wa hesabu. Namba zilishagoma kwingine.

Ukimuunga mkono Magufuli kupita leo bila kupingwa, ujiandae yeye kukaa madarakani zaidi ya miaka 10. Magufuli sio masiha, hivyo hana uhalali wowote wa kuachwa apite bila kupingwa.
 
Mbarikiwa anaingia Yesrusalem
 
Ni kweli usemayo, ila kesho ni siku kuu kweli, na ifahamike kuwa cdm ni mtoto wa kambo. Ndio maana nimeomba Molemo atuhakikishie kuwepo kwa zoezi hilo, bila kuathiriwa na hiyo public holiday.
Ondoa shaka mkuu ...ikifika kipindi hk NEC huwa haina J2 wala ckukuu ..na kesho ndo ratiba yetu hvyo bc Kama kungekuwa na sikukuu bc wangetupa tarehe nyingine
 
Mzee wenu Jiwe anavyocharuka Ziarani ninyi mnamuona Lissu tu .Na apunguze maneno
Mikutano yake imebaki ni ya vichekesho tu badala awamibie wananchi amewafanyia nini cha maana kwa miaka 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…