NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
October 2020 uchaguzi lakini mpaka sasa wanyanyembe hamjajipanga kwenye kitengo cha habari?Tunashukuru Molemo kwa kuleta hii habari. Kuna uzito fulani kwenye kitengo cha habari cha cdm, kiasi kwamba kuna uzi humu jukwaani unaohimiza kitengo cha habari kuamka. Kuna ushauri pia kuhusu Tundu Lisu jinsi ya kufanya siasa zake bila kupoteza credibility yake. Ni vyema kama chama mkakaa na Lisu na kumfunda. Kuna baadhi ya maneno anaongea yanampotezea haiba yake.
Kuna uzi humu waMkuu samahani sana ni neno gani ambalo ambalo huwa analitamka na linakukera..
Sawa watu watalala hapo mpaka j3 labda wafunge moja kwa moja,Inaweza tokea wakafunga siku hiyo. Wakaja sema mbona nchi nzima ni sikukuu nyie hamkujua??
Hilo bado wengi hawaelewi, tumempendekeza Lissu kwa vile lugha yake ndio inawafaa hawa CCM wa sasa.Hatuhitaji aongee lugha ya kubembeleza, vinginevyo tungemtaka Nyalandu, tunataka azungumze mambo yatakayopandisha haiba yake, na sio yatakayomfanya awe easy target.
Nikweli kabsa mfano ni suala la corona asiliongelee kabsaa aiache serikali ipambane nalo hivohivo, kwani hakuna mwananchi anayependa lockdown na ukiongelea lockdown lazima utachukiwa.Tunashukuru Molemo kwa kuleta hii habari. Kuna uzito fulani kwenye kitengo cha habari cha cdm, kiasi kwamba kuna uzi humu jukwaani unaohimiza kitengo cha habari kuamka. Kuna ushauri pia kuhusu Tundu Lisu jinsi ya kufanya siasa zake bila kupoteza credibility yake. Ni vyema kama chama mkakaa na Lisu na kumfunda. Kuna baadhi ya maneno anaongea yanampotezea haiba yake.
Mkuu umasikini wako haujaletwa na CCM Bali ni uzembe wako wa kufanya kazi,ulitaka ccm ije ikuamshe asubuhi uende shambaniWewe hujuelewi waliotufikisha hapa si hao maviccm mpaka tunakuwa maskini wakutupwa? Mambo aliyoyaahidi huyo rais wako ni asilimia ngapi ametimiza? Au unafikiri hatukumbuki mwaka 2015.
Hii iko poa sana. Mitandao ya kijamii ni mingi mno inafikia watu wengi sana. Tulio kama hili liwafikie watanzania wote.Mkuu habari, habari, imarisheni kitengo Cha habari, njooni na ubunifu wa kuwafikia wananchi wengi, hata wale walioko remote areas, fanyeni recording ya visual na audio ya hotuba zote ili zisambae nchi nzima
Kama vipi lipieni Chanel za nje tutawaona kupitia vingamuzi,
Hivi huu upumbavu wa kupewaga ushauri na kusema mbona kule kuko hivi, huwa unatokana na nini?hivi kati ya TL na Jiwe ambaye ni Rais, anayetaka kuwapanua watu na kumuoza mama ake kwa zawadi ya jogoo nani mropokaji?
Ofcourse! wanamwogopa sema tu hawana la kufanyaSawa watu watalala hapo mpaka j3 labda wafunge moja kwa moja,
Wakifanya hivyo ndo watadhihirisha kwamba siyo huru, na wanamwogopa lissu
Kumbe basi Lisu hana tofauti na jiwe!Mzee wenu Jiwe anavyocharuka Ziarani ninyi mnamuona Lissu tu .Na apunguze maneno
Huyo ndo anatakiwa kwa SasaNi vizuri mgombea aache miemuko ajitofautishe na aliyepo, atambue kula ni za makundi yote kuna watu ukiwa na miemuko unawatisha zaidi utapata kula za vijana ambao mara nyingi si wapiga kura wazee na wanawake watakukwepa maana wataofia machafuko wao hawana pa kukimbilia achunge na adhibiti mdomo wake, maneno madogo tu yanaeza mpunguzia kula. 2015 nilimchagua Lowassa ila mwaka huu naona kama wagombea wenye nguvu wanafanana tabia ya kutoambilika
Mkuu si kwamba ratiba ya kuchukua form kwa wagombea imepangwa na NEC yenyewe?Kesho ni siku ya sikukuu ya nanenane ni mapumziko hakuna kazi, ofisi hazitafunguliwa.
We tulia, mwenyekiti wenu anataka kuwapanua!Hivi huu upumbavu wa kupewaga ushauri na kusema mbona kule kuko hivi, huwa unatokana na nini?
Mkuu kunatofauti kubwa,shida ya Lissu ni kuongea vitu vizito ambavyo watu wenye akili kidogo wanahitaji muda mrefu wa kuvitafakari na kuvielewa while mwingine analopaka tu imradi neno limekuja mdomoni.lakini tofauti nyingine ni kwamba utu na mtu ni muhimu sana kwa Lissu while Magu barabara inaweza kuwa muhimu kuliko mtu na utu wa mtu.Ndo maana haikuwa shida kwake kuelekeza rambi rambi kwenye miradi ya serikaliniKumbe basi Lisu hana tofauti na jiwe!
Tutamchagua Magufuli maana wote kumbe ni walewale
I wish him every blessing from the same God that rescued him from death.WanaJF
Dodoma Inazizima.Ndivyo tunavyoweza kusema kwa Sasa.
Mapokezi kabambe yanamsubiri mgombea wa Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Antipass Lissu ambaye atachukua rasmi fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kesho siku ya Nane Nane.
Inatarajiwa mgombea huyo kusindikizwa na umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Dodoma katika kile kinachoonyesha Imani kubwa waliyo nayo kwa kiongozi huyo.
Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu ametoa wito rasmi kwa wakazi wa jiji la Dodoma na mikoa jirani kumsindikiza mgombea huyo Safari itakayoanzia makao makuu ya Chadema Kanda ya Kati.
Katika mahojiano na wakaazi kadhaa wa jiji Hilo wameonyesha shauku kubwa ya kutaka kumuona Tundu Lissu ikiwa ni miaka mitatu alipoondolewa katika jiji Hilo akiwa nusu mfu baada ya kupigwa risasi kumi na sita na watu wasiojulikana na Sasa anarejea jiji Hilo Hilo akiwa mzima wa afya na akitembea kwa miguu yake miwili huku wabaya wake waliotaka kumuua wakifichama kusikojulikana.
Hapo Jana wanafunzi wa vyuo vikuu vya UDOM, CBE na Mipango walikuwa katika vikao vya namna ya kumsindikiza Lissu ambaye walimwita shujaa wao.
Tundu Lissu amejizolea uungwaji mkono na umaarufu mkubwa kutokana na sera yake ya kuwapa watu Uhuru wa kusema na kutoa maoni yao bila kuingiliwa na vyombo vya Dola endapo atachaguliwa kuwa Rais.Na pia kuruhusu vyama vya siasa. NGO's na vyombo vya Habari kufanya kazi zake kwa Uhuru Kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Chadema leo inatarajiwa kutoa ratiba njia atakazopita mtetezi huyo wa wanyonge na Msemaji wa wasio na sauti ili walau watu kujipanga manjiani kumsalimia na kumsindikiza.
Mkuu siyo kwamba una mdescribe magufuli hapa? Hivi maji Yuko wapi kwani au mwananzila?Lissu hawezi kushinda na kamwe hatakuwa rais wa Tanzania labda jua libadili uelekeo,kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?
Lissu ni mtu hatari sana kwa mstakabari wa taifa letu kwani ni selfish person, ni mtu mwenye jazba,hana nidhamu,amejaaa chuki,na anatumika na nchi za magharibi ili kuvuruga mstakari na umoja wa taifa letu,huyu bwana hafai lazima apingwe kwa kila namna .
Harafu mtu anaposema lissu atakuwa rais ni kujidanganya sana,ataongoza serikali ipi ikiwa chama chake hakina uhakika wa kupata japo wabunge watano,hii ni ndoto
Mwambie lissu kuwa amejidanganya na kama anamatumaini ya kuiongoza Tanzania basi kapotea,
Eti mtetezi wa wanyonge,wanyonge wepi hao anaowatetea ?
Haya msemaji wa TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI.akili mnaachaga wapi?Kesho ni siku ya sikukuu ya nanenane ni mapumziko hakuna kazi, ofisi hazitafunguliwa.
Nashangaa CCM mnamsema TL wakati mzee wenu Ndiye mropokaje mkubwa.Kumbe basi Lisu hana tofauti na jiwe!
Tutamchagua Magufuli maana wote kumbe ni walewale