Dogo aliyekuwa anatembea na mke wa jirani yangu sasa ana mazoea na mwanamke wangu

Dogo aliyekuwa anatembea na mke wa jirani yangu sasa ana mazoea na mwanamke wangu

Wakuu mulibwanji?

Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.

Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.

Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.

Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.

Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.

Wakuu mnanishauri nini?
Fukuza
 
Umaskini na wivu haviendani.

Mzingue dogo ulimwe notisi na baba yake.

Kama Bi. Mkubwa wake yupo hapo tembea nae ili na wewe uwe baba yake wa kambo.

Kiufupi mbali ya ukicheche wa dogo na wewe huna mke hapo. Mwanamke mwenye staha zake hakaribishi mwanaume yeyote ndani kwake ikiwa mumewe hayupo.
 
Umaskini na wivu haviendani.

Mzingue dogo ulimwe notisi na baba yake.

Kama Bi. Mkubwa wake yupo hapo tembea nae ili na wewe uwe baba yake wa kambo.

Kiufupi mbali ya ukicheche wa dogo na wewe huna mke hapo. Mwanamke mwenye staha zake hakaribishi mwanaume yeyote ndani kwake ikiwa mumewe hayupo.
Form three si kama mtoto tu kamkaribisha
 
Me naona shida ni kwamba, nyie wote wawili mmeoa wanawake hawana shughuli za kujitafutia kipato, idle mind inawazaga usenge tu, ndo maana wake zenu wanatombwa na mvulana wa form 3. Wafungulieni sehemu ya kutafuta ridhki, wachoshe mwili.
 
Wakuu mulibwanji?

Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.

Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.

Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.

Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.

Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.

Wakuu mnanishauri nini?
Wakati anampakua mke wa jirani yako ukaamua kukaa kimya kwa sababu hayakuhusu.

Sasa mziki unapigwa malangoni kwako. Kaa kwa kutulia mkuu. Hayakuhusu hayo pia
 
Me naona shida ni kwamba, nyie wote wawili mmeoa wanawake hawana shughuli za kujitafutia kipato, idle mind inawazaga usenge tu, ndo maana wake zenu wanatombwa na mvulana wa form 3. Wafungulieni sehemu ya kutafuta ridhki, wachoshe mwili.
Eti wanasema wanawake wanaofanya kazi wanaliwa sana makazini, bora waoe magolikipa wa kukaa nyumbani.
 
Wakuu mulibwanji?

Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.

Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.

Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.

Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.

Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.

Wakuu mnanishauri nini?
Na wewe mbandue
 
Patamu hapo, kula tips hapa
Yaani aue mtu kwa sababu ya unzinzi wa mtu mwingine, No thanks!
Wanawake wamejaa mtaani wanasubiri waoaji. Unamuacha unaendelea na mishe zako naye anaendelea na form 3 wake!
 
Back
Top Bottom