proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
piga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu mulibwanji?
Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.
Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.
Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.
Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.
Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.
Wakuu mnanishauri nini?
Hakuna jema inategemeana na akili ya mtu tuEti wanasema wanawake wanaofanya kazi wanaliwa sana makazini, bora waoe magolikipa wa kukaa nyumbani.
Mochwari hawatongwi Ila kwingine kote hadi magengeni wanachezea, wewe unafanya kazi mochwari?Wanaofanya kazi wapi ndo hawagongwi? Weka list
Mimi mtaani naogopewa sana,hakuna mtu ananiletea masikharaUlitakiwa kumchapa bakora huyo dogo mbele ya mke wako, alafu unampiga marufuku kukanyaga ndani kwako huku ukimwambia uchafu wake na huyo wife wako ungemkata banzi mbele ya dogo baada ya hapo unawaambia siku ukiwakuta tena unawafungisha ndoa hapo hapo.... ACHA MAZOEA SANA NA MKEO, MKE ANATAKIWA AKUOGOPE NA AKUHESHIMU.. NIMEONA WEWE NI MWANAUME DHAIFU SANA EITHER KIMWILI NA KIAKILI, MPAKA DOGO ANAKUDHARAU ADI ANAINGIA NA VIATU KWAKO, MWANAUME UNATAKIWA KUOGOPWA NA VIJANA WA MTAA MZIMA.
Wewe ushawahi kugongwa? 🤪Wanaofanya kazi wapi ndo hawagongwi? Weka list
Siku nyingine mtie dogo mitamaWakuu mulibwanji?
Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.
Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.
Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.
Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.
Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.
Wakuu mnanishauri nini?
Huyo Baba K wako ndio Mimi ningewatia mitanda wewe, K, na huyo form 3 wako umemuongizaje chumbani kwangu na mikanda mngeonja kumbafuMkeo hajafundwa, chumba na sebule unakaribishaje mgeni wa kiume ndani hali mumeo hayupo?
Yani Baba K wangu angerusha mitama na notisi tungepewa....chumba na sebule wageni wa kiume unawatolea kiti nje.
Mitama ? Chomoa mkanda chapa 🤪Siku nyingine mtie dogo mitama
Yani kanitia mawazo huyu, sijui nilikuwa wapi kumpata mwanaume mwenye huruma hivi🤣🤣🤣Pia kuna wanaume wanaroho nzuri kwa wake zao, suala kama hilo akinijibu kunya, hata huo mchele ataupikia kwao!
Akagongwa yeye na mkewe na huyo dogo wa form 3? 🤪Kuwa makini ,usije ukagongwa na wewe
Hivi bado mnaoa tu!?Wakuu mulibwanji?
Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.
Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.
Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.
Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.
Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.
Wakuu mnanishauri nini?
Unanyooka akikohoa tu unaitika arabeka Baba K na K yako hii hapa 🤪Ya
Yani kanitia mawazo huyu, sijui nilikuwa wapi kumpata mwanaume mwenye huruma hivi🤣🤣🤣
Huyu niliyenaye akirudi tu hadi nyau anakaa mguu sawa.