Dogo aliyekuwa anatembea na mke wa jirani yangu sasa ana mazoea na mwanamke wangu

Dogo aliyekuwa anatembea na mke wa jirani yangu sasa ana mazoea na mwanamke wangu

Huyo Baba K wako ndio Mimi ningewatia mitanda wewe, K, na huyo form 3 wako umemuongizaje chumbani kwangu na mikanda mngeonja kumbafu
Tulipanga sehemu wapangaji wenzetu wa kiume walikuwa wananiogopa🤣🤣🤣 Alikuwa anawapiga jicho la mwana ukome🤣🤣
Mleta mada anajichekesha hadi mkewe anachukuliwa poa, watu wanaingia kwake Kama kwao🤣🤣🤣
 
Tulipanga sehemu wapangaji wenzetu wa kiume walikuwa wananiogopa🤣🤣🤣 Alikuwa anawapiga jicho la mwana ukome🤣🤣
Mleta mada anajichekesha hadi mkewe anachukuliwa poa, watu wanaingia kwake Kama kwao🤣🤣🤣
😆😆😆🤪 Kuna wanaume tumeumbwa na jicho la hivyo linaitwa ole wako nikukute yaan lazima ukae mbali na nyama yangu hata ukiwa unaifuatilia ukigundua mwenyewe muhusika ni Mimi lazima uongie mitini tu au ubadirishe njia
 
Patamu hapo, kula tips hapa
Mbona mods wameifuta? Hawataki wale tips nini?
 
Wakuu mulibwanji?

Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.

Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.

Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.

Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.

Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.

Wakuu mnanishauri nini?
Unakubali vipi kwenda kuishi kwenye nyumba ya namna hiyo Mkuu? Naona kama ulichelewa sana hadi yanaanza kukuta. Ulidhani akiachana na mke wa mwenzio atamfuata yupi?

Hakuna ushauri mwingine zaidi ya kukomesha mazoea ya huyo mjinga na mkeo. Sijui kwanini wakiona wako single hawawafuati? Wanangoja hadi mtu abebe mzigo.

Wanachofanya hao wajinga ni kukuponda tu kwa mkeo ili wao sasa ndiyo waonekane wa maana. Fanya kila njia uvunje tu hayo mazoea kwa hali yoyote ile.

Ila jambo kubwa zaidi ni kuhama tu hiyo nyumba.

Ova
 
Wakuu mulibwanji?

Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.

Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.

Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.

Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.

Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.

Wakuu mnanishauri nini?
Huyo ana mkonge mpana na mrefu kuliko wako na mshkaji ndo mana wake zenu hawaambiliki tena
 
Wakuu mulibwanji?

Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.

Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.

Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.

Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.

Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.

Wakuu mnanishauri nini?
HV ukai na panga ndani mkuu
 
Wakuu mulibwanji?

Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.

Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.

Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.

Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.

Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.

Wakuu mnanishauri nini?
[/QUOT
Check eneo jingine,
Kodi hiyo ikikata tembea mbele.

Ni muhimu mwanamume kutake control and full authority of your own...
Mgeni wako Lazima awe na Heshima na mipaka kwenye nyumba yako..

Sasa unamuelekeza dogo hadi mnavumbiana ni mazingira hatari hayo ya kuishi kwa afya na ustawi wa familia ....

Huyo dogo atamlala mkeo atampiga biti askwambie na mkeo atafanya hivyo hivyo kukaa kimya , sababu akisema moto wake hautazimika.....

Unajua nini,
Utakua unakuta utofauti kubwa sana kwa mkeo, kwenye kuhondomola na hiyo itakuchanganya zaidi saikolojikali. Kumbe dogo anajilia tu

Stuka, tembea mbele...
 
Ulitakiwa kumchapa bakora huyo dogo mbele ya mke wako, alafu unampiga marufuku kukanyaga ndani kwako huku ukimwambia uchafu wake na huyo wife wako ungemkata banzi mbele ya dogo baada ya hapo unawaambia siku ukiwakuta tena unawafungisha ndoa hapo hapo.... ACHA MAZOEA SANA NA MKEO, MKE ANATAKIWA AKUOGOPE NA AKUHESHIMU.. NIMEONA WEWE NI MWANAUME DHAIFU SANA EITHER KIMWILI NA KIAKILI, MPAKA DOGO ANAKUDHARAU ADI ANAINGIA NA VIATU KWAKO, MWANAUME UNATAKIWA KUOGOPWA NA VIJANA WA MTAA MZIMA.
Akishindwa kufuata maelezo haya basi ni mjinga
Mtaani kwangu vijana hawana mazoea ya ajabu ajabu na Mimi au mkewangu hata ambao nalingana nao umri yaani pia mwanamke ukimwambia kitu ni mara moja tu afute maagizo au aanze utekelezaji na pia kwangu mtu haingii hovyo hovyo kwanza anaanzaje na wanajua sinaga mazoea ya ajabu ajabu na mtu..mwanamke akianza kukudharau live mzee hali yako mbaya
 
Back
Top Bottom