Sasa utamfuata nyumbani kwake?Kwenye scenario kama hio medical ethics zinakuruhusu kumamata makofi mgonjwa, gonga vitasa daktari.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
hizo dawa ni stress tupu,Sasa utamfuata nyumbani kwake?
Na siku hizi hawa wagonjwa wana kiburi sana maana wanaweza kupiga simu mpaka TAMISEMI au Afya.
Hahaha mkuu hili jiwe gizani ni zito Sana [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]Clinical officers siku hizi ni madaktari pia?
Hahaha mkuu hili jiwe gizani ni zito Sana [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Ila acha tu mtete wengi tunajuaga watoa huduma wowote tutaowakuta iwe zahanati au kituo Cha afya tunawapa heshima yao kwa kuwaita dokta...hata wadada wa mapokezi kwa kuwapa heshima tunawaita nurse ili wajiskie vizuri.
Good mamdogoNa wakunga wakija kusimulia vituko vya wake zenu labour mtafurahi! Mengine yabaki kuongelewa kazini tenawkwa sababu maalum.
Samahan dada..unaweza shea ni matukio gan hutokea kwenye hiko chumba...Na wakunga wakija kusimulia vituko vya wake zenu labour mtafurahi! Mengine yabaki kuongelewa kazini tenawkwa sababu maalum.
Sio kwa sky eclat afu kichwani jaribu kujaza mambo mazuriSamahan dada..unaweza shea ni matukio gan hutokea kwenye hiko chumba...
Kuna mmoja niliwai sikia anasema...et huwa mnakata gogo huko live live wakat wa kupush..ni kwel hili...?
Shea na mengne tafadhali..
Sawa msemaji wa sky...mfate na pm basSio kwa sky eclat afu kichwani jaribu kujaza mambo mazuri
Speak only that which will bring you honor
@Sky Eclat mtu wa hivi unaweza kumjibu ambaye hamuheshimu hata mama yake aliyemzaa?jf ya Sasa ni kiboko saa zote huwaza mizaha.Samahan dada..unaweza shea ni matukio gan hutokea kwenye hiko chumba...
Kuna mmoja niliwai sikia anasema...et huwa mnakata gogo huko live live wakat wa kupush..ni kwel hili...?
Shea na mengne tafadhali..