Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Hawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu

Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.

Yaani tupate CCM ambayo ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.

Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!

Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!

Yangu ni hayo!
 
Naandika hapa na anayepinga apinge siwezi kupigia kura chadema mpaka nakufa ...Mtafanya makosa yote siwezi kupigia kura chadema mpaka kauli ya mwisho hata kiwe chama cha dola ya kiislamu walienda chadema tu basi kwangu ni sumu.
CHADEMA INAPIGIWA KURA NA WENYE AKILI NI MJINGA TU AMBAYE HAJUI UMUHIMU WA UPINZANI NDIO HATA IPIGIA KURA CHADEMA
 
Elewa

Muda wa CHADEMA na ccm kuendelea kuwa vyama tumainiwa kwa nchi yetu UMEISHA!

Move hizi unazoona za kulamba asali ni za kuua vyama hivi,vichukiwe na kupoteza imani ili vizaliwe vipya!

Baada ya katiba Mpya vitazaliwa vingine vipya ambavyo vitaambatana na hayo majina uliyoyaandika unayoyataka yashike hatamu!

Jiandae kuchukua kadi mpya za vyama vipya!!

Mungu ibariki nchi YANGU TANZANIA niipendayo!
 
Elewa

Muda wa CHADEMA na ccm kuendelea kuwa vyama tumainiwa kwa nchi yetu UMEISHA!

Move hizi unazoona za kulamba asali ni za kuua vyama hivi,vichukiwe na kupoteza imani ili vizaliwe vipya!

Baada ya katiba Mpya vitazaliwa vingine vipya ambavyo vitaambatana na hayo majina uliyoyaandika unayoyataka yashike hatamu!

Jiandae kuchukua kadi mpya za vyama vipya!!

Mungu ibariki nchi YANGU TANZANIA niipendayo!
eti chadema ife yani mzoga wenu wa chato ulisema hivyo matokeo yake chadema iko imara na yeye ameshaoza anaishiliza kunuka leo wewe msukule unasema chadema itakufa
 
Hawa watu ,uzalendo wao ni Zero, Wabinafsi , na Kila kukicha wanazidi kuweka wazi Sura zao Asili .( hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi ,wawe wanapewa Ubunge tu ).



Naam kwakua, Chama Cha mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja .

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China .

Yaan tupate CCM ambayo Ina watu wenye Uchungu,Uzalendo ,Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake .

Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK , Yusuph , Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification , Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.


Kwa Sasa CCM ya Kinana, ni sawa na CHADEMA TU ,wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!!.


Tunawataka Akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehem Mfugale wengi Akina Deo Filikunjomb wengiii !!.

Yangu ni hayo !!
Pole
 
CHADEMA INAPIGIWA KURA NA WENYE AKILI NI MJINGA TU AMBAYE HAJUI UMUHIMU WA UPINZANI NDIO HATA IPIGIA KURA CHADEMA
Upinzani wa nyokwe!! Toka hapa walevi wakubwa Nan awaweke madarakani? ,wapumbavu mko wachache ndo maana hamshindi .

Nchi yenye watu weny akili timamu iongoze na jamii za matapeli walevi una akili kweli?

Siwezi kuongozwa na hao watu bado level zao kama wako smart kama mnavyodanganywa kwa umaskini wenu

Kafie mbele!!
 
Back
Top Bottom