Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Hawa watu ,uzalendo wao ni zero, Wabinafsi , na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu

Naam kwakua, Chama Cha mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.

Yaan tupate CCM ambayo Ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.

Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!

Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!

Yangu ni hayo!
Umeandika upumbavu mtupu
 
Unajiona smart kumbe umeandika ujinga Kaa zako kijijini chama cha ovyo hakitokuja kuingia madarakani ng'o.
Sijajiona Smart na hakuna nilipoandika Niko smart nimekueleza Cha kufanya!
Kama unadhani Niko kijijini wanaosoma post zangu wanaweza ku-judge how smart I am!
Chama tawala kinamtaji mkubwa sana na miongoni mwao ni watu wa Aina yako!
Ogopa sana nchi ikiwa na wajinga wengi wanaweza kuchagua Rais!
 
Uliona wapi nimeshabikia ccm ? Sijawai kuwapigia kura ccm ,Chadema wamenoangusha nishaapa sitokuja kusapot chama lao Tena.

Mwenyekiti kigeugeu kila kona tangu alambe katulia tu.
Wewe MTU mmoja usiposaport chadema wengine watasaport! By the way Kuna Chama kama Chauma, Sau, jahazi asilia, nccr mageuzi, tadea, ACt nk kwanini usijiunge navyo ukaleta Mabadiliko? Tanzania ni nchi ya kidemokrasia yenye mfumo wa vyama vingi na kila mtu ana haki ya kujiunga na Chama chochote akivitiwa na sera zake!
Kuliko kupoteza muda mwingi kuwananga watu ambao hata kauli y'ako moja hata kujiondoa hakuna impact yoyote jiunge navyo! Pathetic zao la community schools!
 
Uliona wapi nimeshabikia ccm ? Sijawai kuwapigia kura ccm ,Chadema wamenoangusha nishaapa sitokuja kusapot chama lao Tena.

Mwenyekiti kigeugeu kila kona tangu alambe katulia tu.

..Mwenyekiti wa Ccm iliyoongoza kwa miaka 60+ na nchi imekwama ndio unamuona wa maana?


..Hivi umeridhika na hatua ya maendeleo ambayo nchi yako imepiga? Unaamini nchi iliyopata uhuru miaka 60+ iliyopita inapaswa kuwa kama Tanzania?
 
Wewe MTU mmoja usiposaport chadema wengine watasaport! By the way Kuna Chama kama Chauma, Say, jahazi asilia, nccr mageuzi, tadea, ACt nk kwanini usijiunge navyo ukaleta Mabadiliko? Tanzania ni nchi ya kidemokrasia yenye mfumo wa vyama vingi na kila mtu ana haki ya kujiunga na Chama chochote akivitiwa na sera zake!
Kuliko kupoteza muda mwingi kuwananga watu ambao hata kauli y'ako moja hata kujiondoa hakuna impact yoyote jiunge navyo! Pathetic zao la community schools!
Iko chama kimeniangusha sitaki kabisa kusikia sikulazimishi ila ni maoni yangu tu.
 
Sijajiona Smart na hakuna nilipoandika Niko smart nimekuelewa Cha kufanya!
Kama unadhani Niko kijijini wanaosoma post zangu wanaweza ku-judge how smart I am!
Chama tawala kinamtaji mkubwa sana na miongoni mwao ni watu wa Aina yako!
Ogopa sana nchi ikiwa na wajinga wengi wanaweza kuchagua Rais!
Halina tatizo siasa 100% no madharia na maoni ya mtu kama wachambuzi mpira ..

Hata uwe unachambua kiasi gani hayo ni mawazo yako!! Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni
 
Hata hao Ccm unaowapigia chapuo ni wabinafsi na mafisadi tu.

Ccm sio chama cha siasa tena ila kampuni ya walamba asali
Hawa watu ,uzalendo wao ni zero, Wabinafsi , na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu
 
..Mwenyekiti wa Ccm iliyoongoza kwa miaka 60+ na nchi imekwama ndio unamuona wa maana?


..Hivi umeridhika na hatua ya maendeleo ambayo nchi yako imepiga? Unaamini nchi iliyopata uhuru miaka 60+ iliyopita inapaswa kuwa kama Tanzania?
Tuongee ukweli sio ushabiki ni Bora ya CCM kuliko hao jamaa ,kama huamini utakuja kuona miaka hyo inashika Dolla mi ntakuwa sipo.

Ni kwamba ivyo vyama ya upinzani sioni kilicho tayar kushika Dolla kifupi havina quality ni vikundi tu ,Wana migogoro kibao when you foresee an inner source of their conflicts ni maslahi ya watu binafsi.

Si unaona wale wabunge sijui 19 wamesaliti chama 😂😂😂.
 
Kwanza kbs.. hayo uliyoshaur CCM uchungu na nchi, uzalendo 🤣🤣🤣 kamwe haiwezekan!! Pili... Ungeelezea kwa kina kwann CDM hawastahili kupewa dhamana ya kuongoza hii nchi.. elezea kwann
Si amesema ni kwa sababu eti sio wazalendo na wanaweza kuuza nchi...??

Wewe unasemaje? Kweli CHADEMA sio wazalendo na CCM ndiyo wazalendo wa nchi hii...?

Na huyu Carlos The Jackal mleta mada anapendekeza kuwa, Tanzania iwe kama China ya chama kimoja kwa maana ya CCM ndiyo kiwe chama pekee cha siasa na kutawala milele..

Wewe unasemaje? Una maoni gani? Huyu bwana yuko sahihi?
 
Si amesema ni kwa sababu eti sio wazalendo na wanaweza kuuza nchi...??

Wewe unasemaje? Kweli CHADEMA sio wazalendo na CCM ndiyo wazalendo wa nchi hii...?

Na huyu Carlos The Jackal mleta mada anapendekeza kuwa, Tanzania iwe kama China ya chama kimoja kwa maana ya CCM ndiyo kiwe chama pekee cha siasa na kutawala milele..

Wewe unasemaje? Una maoni gani? Huyu bwana yuko sahihi?
Hana usahihi.. amention hapa sio wazalendo kvp?
Wauze nchi kwa mikopo ipi waliochukua tang uhuru?
 
Hawa watu ,uzalendo wao ni zero, Wabinafsi , na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu

Naam kwakua, Chama Cha mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.

Yaan tupate CCM ambayo Ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.

Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!

Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!

Yangu ni hayo!
Nilijua nchi inachukuliwa kwa KURA. Kumbe inagawiwa na DOLA?
 
Labda ungesema tusiwape nchi watanzania, tutafute vyama vya nje ndo vije vishike nchi hapo ningekuelewa.

Maana watu ni wale wale, leo wako CHADEMA kesho wako CCM n.k.

Tatizo letu siyo watu, siyo CHADEMA, Siyo CCM, Siyo Kinana wala Si Bashiru ila ni KATIBA na sheria nyingine mama. Kwa hiyo kama CCM kwa miaka 60 imeshindwa kutupa KATIBA BORA ni heri tuwape CHADEMA maana watatuletea KATIBA BORA au nzuri kiasi cha hii ya sasa.

Nchi inatakiwa iende tu bila kujali watu. Tunakosea sana kuangalia personalities...eti mtu kama Magufulu au kama Nani. Hatakiwa kuwa mtu bali katiba, sheria na kanuni za kuongoza nchi. Ili yeyote yule atakaye ingia mambo yaende.
 
Back
Top Bottom