Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Wa kulaumiwa ni serikali kuruhusu vyama vya ukoo kufanya siasa za kitaifa.๐Chadema ya nn chama cha ukoo..Ngoja uje kuteseka ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa kulaumiwa ni serikali kuruhusu vyama vya ukoo kufanya siasa za kitaifa.๐Chadema ya nn chama cha ukoo..Ngoja uje kuteseka ๐๐๐
Dawa yake sio Chadema Bali Katiba bora..usaliti wa Ccm unaonekana ktk hali yetu kisiasa, kiuchumi, na kijamii.
..Nitakupa mfano mdogo. Ndege yetu imekamatwa kwasababu tunadaiwa bilioni 300+.
..Tunadaiwa kwasababu kuna mwana-Ccm alisaini mkataba mbovu. Halafu kuna mwana-Ccm mwingine kavunja mkataba kipumbavu. Matokeo yake ni hasara ya billioni 300+.
..Hizo billioni 300 ni zaidi ya bajeti ya maendeleo ya KILIMO kwa mwaka mzima.
..Wale kina mama wamesaliti chama chao.
..Ccm wanasaliti Watanzania. Hizo billion 300+ zitalipwa kwa kodi, na tozo, tunazokamuliwa mimi na wewe.
..Unaweza kushabikia Ccm, lakini make sure wanakulipa vizuri na kumaliza shida zako zote.
Sijakataa kama ccm ni mbovu maana ndo imetuletea umaskini..Ila note maneno yangu Cdm haifai kabisa .
Hiki ilichfanyika ni uhuni tu wala siyo mamlaka stahiki za kidola. Chanzo cha uhuni huu ni katiba mbovu ambayo pia inazaa tume mbovu ya uchaguzi inayoruhusu chama tawala kuvitumia vyombo vya dola kufanya vitu vya hovyo.stori za vijiweni huku niliko raia walichoma road kisa walitangaza mgombea wa CCM wakati wao kura walizihesabu CDM walishinda, wakala virungu night kali vya jwtz
Ni kwasabb tuna katiba mbovu. Tiba ya ujnga huu ni katiba boraThis is how things should be. Bit it is not how things are.
Dawa yake sio Chadema Bali Katiba bora
Tunahitaji transition especially political, Tena chama kipya sip walevi...What are your dreams for your country?
..Ukiangalia miaka 60 ya utawala wa Ccm, unaona ndoto zako kwa Tanzania zikitimia?
Wa kulaumiwa ni serikali kuruhusu vyama vya ukoo kufanya siasa za kitaifa.๐
Hiki ilichfanyika ni uhuni tu wala siyo mamlaka stahiki za kidola. Chanzo cha uhuni huu ni katiba mbovu ambayo pia inazaa tume mbovu ya uchaguzi inayoruhusu chama tawala kuvitumia vyombo vya dola kufanya vitu vya hovyo.
Tunahitaji transition especially political, Tena chama kipya sip walevi.
Mambo ya uchaguzi kwangu sio muhimu Sana Bali Katiba mpya....Na chama kinachozuia kupatikana kwa katiba bora ni Ccm.
..Na chama kinachozuia Tume Huru ya uchaguzi ni Ccm.
Tunahitaji transition especially political, Tena chama kipya sip walevi.
Mambo ya uchaguzi kwangu sio muhimu Sana Bali Katiba mpya..
CCM itakataa lakini Kuna siku italazimishwa tuu
Chadema familia zao wamezificha ughaibuni. We kufa njaa kwa kuishabikia chadema wale siyo wenzako na hawapo kwa ajiri yakoCHADEMA INAPIGIWA KURA NA WENYE AKILI NI MJINGA TU AMBAYE HAJUI UMUHIMU WA UPINZANI NDIO HATA IPIGIA KURA CHADEMA
Wa kulaumiwa ni serikali kuruhusu vyama vya ukoo kufanya siasa za kitaifa.๐Chadema ya nn chama cha ukoo..Ngoja uje kuteseka ๐๐๐
Halafu maneno haya ya kipuuzi unakuta yanatoka kwa mtu alie na dhamana ya kutoshiriki siasaChadema familia zao wamezificha ughaibuni. We kufa njaa kwa kuishabikia chadema wale siyo wenzako na hawapo kwa ajiri yako
Wewe ni KHawa watu ,uzalendo wao ni zero, Wabinafsi , na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu
Naam kwakua, Chama Cha mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.
Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.
Yaan tupate CCM ambayo Ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.
CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.
Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.
Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!
Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!
Yangu ni hayo!
Katiba bora haiombi ama kumbembeleza mtu kuitii. Asiyeitii inamuadhibu.Ishu hata sio katiba mpya ki vile ni kutii hiyo katiba, labda uniambie mpya itaondoa immunity aliyowekewa Mheshimiwa