Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Wewe
Unajiona smart kumbe umeandika ujinga Kaa zako kijijini chama cha ovyo hakitokuja kuingia madarakani ng'o.

Wewe ni Mungu?. Unajua miaka 50 ijayo itakuwaje?. Kuna watu walisema Lowassa atafia ikulu asipewe kura, ila wao wakafia ikulu Lowassa bado yupo. Usiwe mwepesi kusema maana wewe ni binadamu unaishi kwa kudra za mwenyezi Mungu.
 
M
Uliona wapi nimeshabikia ccm ? Sijawai kuwapigia kura ccm ,Chadema wamenoangusha nishaapa sitokuja kusapot chama lao Tena.

Mwenyekiti kigeugeu kila kona tangu alambe katulia tu.

Kumbe CHADEMA wamekuangusha. Nimeelewa kwanini una hasira.
 
Hawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu

Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.

Yaani tupate CCM ambayo ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.

Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!

Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!

Yangu ni hayo!
Creche at work.....
 
Hawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu

Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.

Yaani tupate CCM ambayo ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.

Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!

Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!

Yangu ni hayo!
Ninerudia kusoma heading na comments nimegundua jambo moja.

Tanzania, seems uchaguzi ni geresha tu. DOLA ndiyo inayoamua kuhusu nani aongoze nchi.

Kama hivi ndivyo basi tunajihaini wenyewe bila kujua
 
Chaga development manifesto

Ndio ulichobakiza , huna jipya. Unadhani ukabila utakusaidia nini?. Unadhani kwa kuleta propaganda za ukabila ndio mfumuko na hali ngumu ya maisha itaisha?. Au deni la trilioni 91 litaisha? Endelea kuwa chawa wa ccm na akina Makamba utaona mwisho wako.
 
Sio kweli dola hutumika kuhakikisha ushindi wa mezani kwa hiyo mimi namuunga mkono mtoa mada tupate mtu ambaye anatoka huko huko CCM lakini mwenye maslahi ya nchi kama alivyokuwa Jiwe. Ila na yeye asife. Ingawa nilimkubali Jiwe lakini 2015 alishinda Mmasai.
Akili za hovyo hizi, nchi inatawaliwa na wapuuzi wanaowaza ushindi wa mezani, akili zenu zipo makalioni nyie
 
Mm nimeapa kutokujihusisha na siasa na wala sitokaa kupiga kura hata kwa bahati mbaya, ila kuipa kura chadema ndio kosa kubwa mno.
 
Tuongee ukweli sio ushabiki ni Bora ya CCM kuliko hao jamaa ,kama huamini utakuja kuona miaka hyo inashika Dolla mi ntakuwa sipo.

Ni kwamba ivyo vyama ya upinzani sioni kilicho tayar kushika Dolla kifupi havina quality ni vikundi tu ,Wana migogoro kibao when you foresee an inner source of their conflicts ni maslahi ya watu binafsi.

Si unaona wale wabunge sijui 19 wamesaliti chama 😂😂😂.

Bora ccm ya walamba asali. Wanakopa trilioni 91 na walalahoi ndio wanalipa. Bora CCM ya mgao wa umeme na maji, etc
 
Sawa,bas CCM mbele kwa mbele
Unaonaje ukiendelea kutoa hekima, busara na misisimko kule kwenye jukwaa pendwa. Halafu huku uwaachie akina magonjwa mtambuka, elitwege na usajili mpya mwashambwa wahangaike na zigo lao la CCM.
 
Dawa yake sio Chadema Bali Katiba bora
Jitahidi kuelimika. Dawa sio Chadema, CCM, mtu fulani wala chama chochote cha siasa.

Dawa ni uhuru wa wananchi kuchagua viongozi wao na kuwawajibisha in time wakishindwa au kuchezea kazi. Dawa ni katiba makini ya wananchi na utawala bora unaozingatia katiba na sheria. Watu waamue nani awaongoze wakati gani. Sio hizi kamari za CCM na dola kukabidhi uongozi wa nchi kwa mafisadi, comedians hadi watu fyatu.
 
Baada ya kufuatilia siasa kwa muda mrefu Sasa naona hakuna Cha chadema Wala ccm..wote mafisadi tu.hakuna yeyote Mwenye uchungu na nchi.Asilimia 99% ya wanasiasa na Viongozi Wote wapo kwa maslahi Yao Binafsi.Amini Nachokwambia....Ili Africa Angalau Ipate Maendeleo ya kufika hata nusu ya Ulaya Tunahitaji Kutawaliwa Tena Na wazungu..mbali na Hapo Hadi 2148 tutabaki ka tulivyo.fuvk all political parts.Africa imelaaniwa!Over
 
Mtaona Ni mpumbav...ila Ili Africa iendelee Tena Kwa Msisitzo nasema TUNAHITAJI KUTAWALIWA TENA NA WAZUNGU.
 
Halafu ka mijinga vile inavyogombea madaraka maviongoz ya Africa utadhan haitokuja Kufa..shiiit😏😏😏
 
Ngoja nlale ntaendelea kesho...Maana Uzi wako umentia hasira kweli☹️☹️☹️
 
Unaonaje ukiendelea kutoa hekima, busara na misisimko kule kwenye jukwaa pendwa. Halafu huku uwaachie akina magonjwa mtambuka, elitwege na usajili mpya mwashambwa wahangaike na zigo lao la CCM.
Sasa tufanyaje kama wanaleta sifa za kijinga wakati wananchi tunaumia(pia sipangiwi cha kufanya mkuu😉)
 
Hawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu

Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.

Yaani tupate CCM ambayo ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.

Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!

Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!

Yangu ni hayo!
Very stupid!Kuna id zingine huwa nadhani ni viumbe wanaojitambua kumbe ni kuku tu.
 
Back
Top Bottom