Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Hawa watu ,uzalendo wao ni zero, Wabinafsi , na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu

Naam kwakua, Chama Cha mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.

Yaan tupate CCM ambayo Ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.

Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!

Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!

Yangu ni hayo!
Hivi ndugu zako wanatambua kuwa Wana mgonjwa wa akili kwenye familia yao?
Yaani ujinga ule wa China uuapply bongo? Umefikiri kifala Sana kudhani kuwa Aina Ile ya utawala wa kibabe wa China ndio ulioleta maendeleo na mapinduzi ya kiuchumi huko kwao!
Ccm imetawala miaka 62 na bado imeshindwa kuweka mifumo ya kiuchumi na mahitaji ya kijamii kwa miaka yote hiyo licha ya nchi kuwa na raslimali za asili nyingi.
Na kwanini usiitazame Taiwan, Singapore na Malaysia ambao umri wao wa Uhuru tunaendana lakini wametuacha mbali kiuchumi?
Chungulia hapo Zambia na Malawi angalau utafunguka hiyo akili iliyovia!
Ccm no jini zee isiyoweza kufikiri Tena ndio maana Lina shishibaby walikuwa wagombea wa kukishauri chama chako na kumteua rais! Mnawaacha wenye akili kubwa kukiongoza chama mnakimbilia kuongozwa na failures! What a pity! Ona aibu kwa bandiko lako hili na usidhani watanzania wa Leo ni wale wa ubwabwa na kofia za ccm! Utashangaa 2025 mtakavyogeuzwa wapinzani kwani hata Dola inakwenda kuwatupa jalalani.
 
Tuongee ukweli sio ushabiki ni Bora ya CCM kuliko hao jamaa ,kama huamini utakuja kuona miaka hyo inashika Dolla mi ntakuwa sipo.

Ni kwamba ivyo vyama ya upinzani sioni kilicho tayar kushika Dolla kifupi havina quality ni vikundi tu ,Wana migogoro kibao when you foreseen an inner source of their conflicts ni maslahi ya watu binafsi.

Si unaona wale wabunge sijui 19 wamesaliti chama 😂😂😂.

..usaliti wa Ccm unaonekana ktk hali yetu kisiasa, kiuchumi, na kijamii.

..Nitakupa mfano mdogo. Ndege yetu imekamatwa kwasababu tunadaiwa bilioni 300+.

..Tunadaiwa kwasababu kuna mwana-Ccm alisaini mkataba mbovu. Halafu kuna mwana-Ccm mwingine kavunja mkataba kipumbavu. Matokeo yake ni hasara ya billioni 300+.

..Hizo billioni 300 ni zaidi ya bajeti ya maendeleo ya KILIMO kwa mwaka mzima.

..Wale kina mama wamesaliti chama chao.

..Ccm wanasaliti Watanzania. Hizo billion 300+ zitalipwa kwa kodi, na tozo, tunazokamuliwa mimi na wewe.

..Unaweza kushabikia Ccm, lakini make sure wanakulipa vizuri na kumaliza shida zako zote.
 
Hivi ndugu zako wanatambua kuwa Wana mgonjwa wa akili kwenye familia yao?
Yaani ujinga ule wa China uuapply bongo? Umefikiri kifala Sana kudhani kuwa Aina Ile ya utawala wa kibabe wa China ndio ulioleta maendeleo na mapinduzi ya kiuchumi huko kwao!
Ccm imetawala miaka 62 na bado imeshindwa kuweka mifumo ya kiuchumi na mahitaji ya kijamii kwa miaka yote hiyo licha ya nchi kuwa na raslimali za asili nyingi.
Na kwanini usiitazame Taiwan, Singapore na Malaysia ambao umri wao wa Uhuru tunaendana lakini wametuacha mbali kiuchumi?
Chungulia hapo Zambia na Malawi angalau utafunguka hiyo akili iliyovia!
Ccm no jini zee isiyoweza kufikiri Tena ndio maana Lina shishibaby walikuwa wagombea wa kukishauri chama chako na kumteua rais! Mnawaacha wenye akili kubwa kukiongoza chama mnakimbilia kuongozwa na failures! What a pity! Ona aibu kwa bandiko lako hili na usidhani watanzania wa Leo ni wale wa ubwabwa na kofia za ccm! Utashangaa 2025 mtakavyogeuzwa wapinzani kwani hata Dola inakwenda kuwatupa jalalani.
Nimecheka sana !! Wanawaacha wenye Akili 😂 kweli wenye akili huwa wanaogopewa !!
 
Badilisheni mwenyekiti kigeugeu mlamba asali kwanza ,Tumia tu akili za kuzaliwa utagundua sipo hapa kwa mabishano hata hao ccm siwakubali sijwai kuwapigia kura hata siku moja ila Cdm ni kichefuchefu kabisa.

Mtu kama Abdul nondo anajitambua anaongea point plus kuwa na misimamo ,hao jamaa zako mvi kichwani ila hawanaga misimamo watoto wao wako nje ,then nyie kajamba nane ndo mfanye maandamano.

Hao machalii wanaandaliwa kuja kuwashikia akili na kupata pesa kupitia chama cha ukoo ,nyie hapa dar unavalishwa magwanda ya mgambo Kuna joto kali hivi mnajitambua kweli?
Abdul Nondo unamkubali kwasababu muislam sio
 
Upinzani wa nyokwe!! Toka hapa walevi wakubwa Nan awaweke madarakani? ,wapumbavu mko wachache ndo maana hamshindi .

Nchi yenye watu weny akili timamu iongoze na jamii za matapeli walevi una akili kweli?

Siwezi kuongozwa na hao watu bado level zao kama wako smart kama mnavyodanganywa kwa umaskini wenu

Kafie mbele!!
Miaka 60 maji hakuna , umeme hakuna , bila wizi wa kura mngekuwa kama TLP ya Mrema, wapumbavu sana nyie
 
Mabadiliko ya kweli yanatoka CCM kwenye dola yaani hapo apatikane jiwe mwingine tu. Ambaye hatadanjishwa.
 
..usaliti wa Ccm unaonekana ktk hali yetu kisiasa, kiuchumi, na kijamii.

..Nitakupa mfano mdogo. Ndege yetu imekamatwa kwasababu tunadaiwa bilioni 300+.

..Tunadaiwa kwasababu kuna mwana-Ccm alisaini mkataba mbovu. Halafu kuna mwana-Ccm mwingine kavunja mkataba kipumbavu. Matokeo yake ni hasara ya billioni 300+.

..Hizo billioni 300 ni zaidi ya bajeti ya maendeleo ya KILIMO kwa mwaka mzima.

..Wale kina mama wamesaliti chama chao.

..Ccm wanasaliti Watanzania. Hizo billion 300+ zitalipwa kwa kodi, na tozo, tunazokamuliwa mimi na wewe.

..Unaweza kushabikia Ccm, lakini make sure wanakulipa vizuri na kumaliza shida zako zote.
Sijakataa kama ccm ni mbovu maana ndo imetuletea umaskini..Ila note maneno yangu Cdm haifai kabisa .
 
hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu
Akili ulizonazo zinakusaidia tu kusukunia kinyesi chooni.

Kwa taarifa yako hakuna mtu, chombo ama taasisi unayotoa mamlaka ya utawala kwa chama ama mtu.

Kwa taratibu na misingi tuliyojiwekea mamlaka ya kiutawala hupatikana kupitia chaguzi tu.
 
Akili ulizonazo zinakusaidia tu kusukunia kinyesi chooni.

Kwa taarifa yako hakuna mtu, chombo ama taasisi unayotoa mamlaka ya utawala kwa chama ama mtu.

Kwa taratibu na misingi tuliyojiwekea mamlaka ya kiutawala hupatikana kupitia chaguzi tu.
Sio kweli dola hutumika kuhakikisha ushindi wa mezani kwa hiyo mimi namuunga mkono mtoa mada tupate mtu ambaye anatoka huko huko CCM lakini mwenye maslahi ya nchi kama alivyokuwa Jiwe. Ila na yeye asife. Ingawa nilimkubali Jiwe lakini 2015 alishinda Mmasai.
 
Labda ungesema tusiwape nchi watanzania, tutafute vyama vya nje ndo vije vishike nchi hapo ningekuelewa.

Maana watu ni wale wale, leo wako CHADEMA kesho wako CCM n.k.

Tatizo letu siyo watu, siyo CHADEMA, Siyo CCM, Siyo Kinana wala Si Bashiru ila ni KATIBA na sheria nyingine mama. Kwa hiyo kama CCM kwa miaka 60 imeshindwa kutupa KATIBA BORA ni heri tuwape CHADEMA maana watatuletea KATIBA BORA au nzuri kiasi cha hii ya sasa.

Nchi inatakiwa iende tu bila kujali watu. Tunakosea sana kuangalia personalities...eti mtu kama Magufulu au kama Nani. Hatakiwa kuwa mtu bali katiba, sheria na kanuni za kuongoza nchi. Ili yeyote yule atakaye ingia mambo yaende
 
Yani unavyosema utadhani CCM ndio ina dhamana ya kumpa mtu yeyote nchi.
Nchi sio ya dola hii, nchi ni ya wananchi...Wananchi ndio tunatakiwa tuwe na mamlaka ya kumchagua wa kumpa nchi kupitia sanduku la kura.
Tukimchagua Chadema ni sisi
 
Acha kuchukua stori za vijiweni wewe
Sio stori za vijiweni huku niliko raia walichoma road kisa walitangaza mgombea wa CCM wakati wao kura walizihesabu CDM walishinda, wakala virungu night kali vya jwtz. Walikuwa hawataki CCM. Kwa hiyo adui akiwa imara sana kama CCM approach inayobidi kutumika ni Trojan Horse.
 
Kwa taarifa yako hakuna mtu, chombo ama taasisi unayotoa mamlaka ya utawala kwa chama ama mtu.

Kwa taratibu na misingi tuliyojiwekea mamlaka ya kiutawala hupatikana kupitia chaguzi tu.

This is how things should be. Bit it is not how things are.
 
Hawa watu ,uzalendo wao ni zero, Wabinafsi , na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu

Naam kwakua, Chama Cha mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.

Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.

Yaan tupate CCM ambayo Ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.

CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.

Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.

Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!

Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!

Yangu ni hayo!
Wewe Ni mpumbavu
 
Naandika hapa na anayepinga apinge siwezi kupigia kura chadema mpaka nakufa ...Mtafanya makosa yote siwezi kupigia kura chadema mpaka kauli ya mwisho hata kiwe chama cha dola ya kiislamu wakiungana na chadema tu basi kwangu ni sumu.
Kiukweli hata Mimi Chadema siwez kuipigia kura Ila na CCM walileta mataahira wengine Kama kina Mwendazake kamwe siwezi kupiga kura Wala kuwasapoti.
 
..Mwenyekiti wa Ccm iliyoongoza kwa miaka 60+ na nchi imekwama ndio unamuona wa maana?


..Hivi umeridhika na hatua ya maendeleo ambayo nchi yako imepiga? Unaamini nchi iliyopata uhuru miaka 60+ iliyopita inapaswa kuwa kama Tanzania?
Kwani Chadema ndio wataleta Maendeleo? Cha Maana hapa Ni Katiba mpya
 
Back
Top Bottom