Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Nina familia na watu kibao wananitegemea ,hoja yangu👉 Tunataka chama cha maana kitakachounganisha watu wote sio kikundi cha watu weusi wanaojifanya wamarekani.Ukianza jitegemea utaelewa kwa Sasa huna makosa
Mawazo ya mjinga aliyekata tamaa.Hawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu
Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.
Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.
Yaani tupate CCM ambayo ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.
CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.
Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.
Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!
Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!
Yangu ni hayo!
Si ulikuwa supporter wa Mdee yuko wapi sasa? We na kina Halima Mdee nan anaijua CDM?Labda familia ya misukule
Sasa kwani wewe ni nani nchi hii?.mbona unajipa umuhim usio na maana.Aliyekwambia kura yako moja ndio inayokipa chama madaraka ni nani.Uchaguzi ni zaidi ya kura.Nina familia na watu kibao wananitegemea ,hoja yangu[emoji117] Tunataka chama cha maana kitakachounganisha watu wote sio kikundi cha watu weusi wanaojifanya wamarekani.
Sijawahi kuipigia CCM kura wala kushiriki uchaguzi weny vinasaba vya ovyo ,ila kusapot chadema hapana!!
Jibu kulingana na thread inavyosema! Acha kukaza fuvu kwa ushabiki wa vyama!! Niliomba jibu sahihi kulingana na hoja hapo juu sasa ww unaleta ushabiki. Soma thread inavyosema then rudi uje kujitutumua kujibu hapa!!Unapinga nn? ndo ukweli..Kazae magwanda ya mgambo kwanza .
Mtashindaje chama hakina watu ?
Ahera inawaharibu sanaWapi nimetaja udini au ufala tu!! Nimetoa mfano basi unakurupuka .pita kushoto !!
Jukum la kupigania haki nilakila mwananchi.hakuna ambaye kazaliwa na nembo yakupigania haki kwa wengine.Kwahiyo tofautisha majukumu ya vyama vya siasa, haki na shughuli binafsi za watu.Ata wewe unawajibu wakupigania haki badala yakukaa kusubiri watu wakupiganie uku ukilalamika uozo wa chama kilicho madarakani.Unadhani nani ataacha kupambania familia yake aje kukupambani.CCM kama chama wameshindwa kuinyooshea kidole serikali yake.unaweza kufukuzwa kwenye chama kwa kumkosoa mwenyekiti lakini uwezi kufukuzwa kwenye chama kwa kufanya ufisadi serikalini.
huko upinzani nako wapigania haki wamewapa uraia familia zao ulaya, wanaleta kigugumizi cha utayari wa kujitoa wao na familia zao kwenye mapambano.au kikinuka familia zako zinakua salama.
Hii nchi wajinga ni wengi.Nyerere hakukosea kuuweka ujinga kama moja ya tatizo nchi hii kwasababu alijua kiasi cha ujinga kilichopo.na bado kinazidi kuongeza badala ya kupungua.Tena akili mfu kabisa. tazama Zambia, Malawi, Malawi, hawakukataa upinzani, kuna mabadiliko makubwa sana kimaendeleo. hawa wahafidhina wa rz shida tupu
Hao chadema wamewahi kuongoza lini ili uwafananishe na ccm iliyoongoza toka uhuru na imeshindwa.Baada ya kufuatilia siasa kwa muda mrefu Sasa naona hakuna Cha chadema Wala ccm..wote mafisadi tu.hakuna yeyote Mwenye uchungu na nchi.Asilimia 99% ya wanasiasa na Viongozi Wote wapo kwa maslahi Yao Binafsi.Amini Nachokwambia....Ili Africa Angalau Ipate Maendeleo ya kufika hata nusu ya Ulaya Tunahitaji Kutawaliwa Tena Na wazungu..mbali na Hapo Hadi 2148 tutabaki ka tulivyo.fuvk all political parts.Africa imelaaniwa!Over
Angalia usirithishe watoto ujinga.True chadema ikishika njee tutakuwa kwenye njaa sana ya kufa mtu .
Tutakuwa somalia wale ni mafisi makitu wabaya we Mungu tuepushie na waovu washetani CHADEMA
Nyie ni watu gani? Mbona hamjawahi kushinda !!Sasa kwani wewe ni nani nchi hii?.mbona unajipa umuhim usio na maana.Aliyekwambia kura yako moja ndio inayokipa chama madaraka ni nani.Uchaguzi ni zaidi ya kura.
"Akhera" sio ahera rudi class ukasome.Ahera inawaharibu sana
Wewe umeshawaridhisha wako utahiraAngalia usirithishe watoto ujinga.
Dola huwa inachukuliwa; yenyewe huwa haina uwezo wa kujipa kwa mtu au taasisiHawa watu, uzalendo wao ni zero, Wabinafsi, na kila kukicha wanazidi kuweka wazi sura zao asili, hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi, wawe wanapewa ubunge tu
Naam kwakua, Chama Cha Mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja.
Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China.
Yaani tupate CCM ambayo ina watu wenye Uchungu, Uzalendo, Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake. Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.
CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK, Yusuph, Nape, hiii haitokaa kutuvusha.
Tunahitaji CCM yenye U-Magulification, Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.
Kwa Sasa CCM ya Kinana ni sawa na CHADEMA TU, wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!
Tunawataka akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehemu Mfugale wengi, Deo Filikunjombe wengiii!
Yangu ni hayo!
Wako wachache ni minority hawawezi kuongoza. Je unahitaji kuelezewa zaidi?Jibu kulingana na thread inavyosema! Acha kukaza fuvu kwa ushabiki wa vyama!! Niliomba jibu sahihi kulingana na hoja hapo juu sasa ww unaleta ushabiki. Soma thread inavyosema then rudi uje kujitutumua kujibu hapa!!
Unawaonea bureWapinzani hawajielewi .....
Naam nimekupata hayo maneno ya mwisho"nani ataacha familia yake aje akupambanie".Jukum la kupigania haki nilakila mwananchi.hakuna ambaye kazaliwa na nembo yakupigania haki kwa wengine.Kwahiyo tofautisha majukumu ya vyama vya siasa, haki na shughuli binafsi za watu.Ata wewe unawajibu wakupigania haki badala yakukaa kusubiri watu wakupiganie uku ukilalamika uozo wa chama kilicho madarakani.Unadhani nani ataacha kupambania familia yake aje kukupambani.