Thank you brother. Tunaagiza hadi vitu ambavyo ilitakiwa vizalishwe hapa. Hapo ni lazima hii exchange currency ikate huko sokoni.Nchi hii tuna import matakataka mengi yasiyokua na tija. Mfano uingizaji wa pikipiki hizi substandard ni muda muafaka kuzuia. Lazima kukomesha uagizaji wa vitu vinavyopatikana nchini ili kuwa na balance of trade. Watu wanaingiza mpaka furnitures kutoka nje wakati tuna miti na mbao za kutosha na mafundi wazuri. Huu ujinga wanaulea serikali yenyewe. Ban imports za matakataka yasiyo na faida.
Lini?! So ninaweza nunua bidhaa kwa Yuan?Ni furaha kusikia kwamba benki ya Tanzania (B.o.T) ilianzisha huduma ya kifedha ya Akaunti ya Yuan ya China (or RMB) kwa ajili ya wateja. Kwa urahisi na upatikanaji wake rahisi wa RMB
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwamba hapa alichemka kwakweli.Ila jamaa wewe ni muongo, unachangamsha jukwaa siyo?
Wewe unataka kulipia kitu china, unasema dollar 12,000 halafu unazunguka mjini kutafuta kubadilisha nataka nkuulize hivi,
Hivi huko unakotaka kulipia Bidhaa china unataka kulipa cash huku ukiwa bongo ?
Hakuna namna ya mfumo wa malipo china kama si kwa E-Transfer(Bank,Paypal,Apple pay,etc na hapo Nimeweka ambazo hazifanyi kazi bongo ila hapo kenya zinakubali)
-Kama unalipa Agency iliyo China Unaweza ukalipa kwa shillings kwenye Actual/Virtual mastercard mtandaoni halafu wao wata-convert kwa ratio ya siku husika(Sheria za nchi zinawabana kufanya transcation in both currency)
-Kama ni Benki si ukachukue transfer form utume na benki husika ndo iwalipe huko china.
Unakuja kutudanganya hapa kuwa umezunguka sijui wapi sijui wapi eti dollar hamna na unataka kulipa kitu china.
HATA KAMA UNATAKA KULIPA SHIPPING AGENT KAMA KINA SILENT OCEAN NA KILIMANJARO UNAWEZA KUWALIPA KWA TSH NA WAO WAKAKUPA RATE YA CONVERSION YA SIKU HIYO UKALIPA UKASEPA
ACHA UONGOOOO,NA KOMA KUDANGANYA UMMA WA WATANZANIA
Return ya ile investment iliyofanyika mpaka sasa ni kiasi gani?inaweka Nguvu kwenye Utalii
Investment ipi na ya kiasi gani hiyo?Return ya ile investment iliyofanyika mpaka sasa ni kiasi gani?
Au ndo ishakuwa siri na makusanyo ya Tozo kwa manufaa ya msoga gang?
Koma wewe. Chizi ni wewe kumtusi mtu usiyemjua na hauwezi mfikia kwa umri wala heshima.Angesaidia nini chizi yule, yaani dunia ibadilike na mambo yawe magumu wewe uone kwamba eti jiwe angeweza kufanya kitu, thubutuuuuuu
Kila mtu na utashi wake na ujuzi na weledi wake, kuna watu hadi leo wanatumiana barua kupitia njia ya postaIla jamaa wewe ni muongo, unachangamsha jukwaa siyo?
Wewe unataka kulipia kitu china, unasema dollar 12,000 halafu unazunguka mjini kutafuta kubadilisha nataka nkuulize hivi,
Hivi huko unakotaka kulipia Bidhaa china unataka kulipa cash huku ukiwa bongo ?
Hakuna namna ya mfumo wa malipo china kama si kwa E-Transfer(Bank,Paypal,Apple pay,etc na hapo Nimeweka ambazo hazifanyi kazi bongo ila hapo kenya zinakubali)
-Kama unalipa Agency iliyo China Unaweza ukalipa kwa shillings kwenye Actual/Virtual mastercard mtandaoni halafu wao wata-convert kwa ratio ya siku husika(Sheria za nchi zinawabana kufanya transcation in both currency)
-Kama ni Benki si ukachukue transfer form utume na benki husika ndo iwalipe huko china.
Unakuja kutudanganya hapa kuwa umezunguka sijui wapi sijui wapi eti dollar hamna na unataka kulipa kitu china.
HATA KAMA UNATAKA KULIPA SHIPPING AGENT KAMA KINA SILENT OCEAN NA KILIMANJARO UNAWEZA KUWALIPA KWA TSH NA WAO WAKAKUPA RATE YA CONVERSION YA SIKU HIYO UKALIPA UKASEPA
ACHA UONGOOOO,NA KOMA KUDANGANYA UMMA WA WATANZANIA
Na wao wanahitaji dollar ili kupata faida na pia kuwa na reserve kubwa ya dollar inayowasaidia katika international transactions.Kwann China isitoe tamko bidhaa zake zinunuliwe kwa yuan badala ya US
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
ukitumia masterCard/visaCard ya Voda, je unajua miamala inapitia BancABC ?Kwahiyo ukilipia kitu amazon kupitia Mpesa visa card itabidi Voda wawapelekee Cash amazon? 😄😄😄😄😄😄
Wakati sisi tunauza za kwetu kwa bei rahisi kabisa sawa na bure. Hii inchi ina watu wanajipa nafasi ya uongozi ila ni majinga aisee.Athari ya Vita ya Ukraine hiyo.
Bora uku afrika,
uko ulaya ndo kumechafuka balaa
Jana German wametangaza recession
Uingereza mfumuko wa Bei haushikiki
USA hali tete mabenki yanafilisika daily
Sahv wenye nafuu duniani labda Ni Russia na waarabu wa mAfuta
maana wao ndo wamezishikilia injini za uchumi (fuels) wanazichezesha watakavyo kufidia Hali mbaya ya uchumi duniani.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ile ya PeeeeeterInvestment ipi na ya kiasi gani hiyo?
Possible kkwa india ?Kama una account bank yenye hiyo hela kwa Shilingi, waambie unaowalipa huko china wakupe account namba za benk zao (bank details).
Ukienda bank kwako hapa Bongo, waambie wakupe form ya Bank transfer, waambie unataka kulipa hela China. Watakupa rate ambayo utajaza baada ya hapo Bank yako itabadilisha yenyewe kwa rate ya siku hiyo na kulipa Bank ya China.
Pole sana kwa Changamoto....
Ile ya Peeeeeter
Acha uongo mkuu.Tangu muda mrefu lakini nimeona pale unaponunua bidhaa mtandaoni dolla moja ni sawa 3500
Sasa kama na huko maduka ya kubadilishia pesa dolla imefikia huko nadhani sasa tunaenda Zimbabwe
Rais tunamashaka sana na washauri wake wanamwambia nini na at the same time elimu yake juu ya uchumi ni questionable.Kinachouma zaidi ni kuwa Rais analitambua hilo na hajalifanyia kazi maana lazima Waziri wa Fedha ambaye ni Makamu alihusika
Wanasema ametumia akili za kuruka mfereji kujibu swala la kiuchumi tena level za science.Wewe huna akili
Bank kutoa dola zako wanazinguaKwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.
Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.
Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-
Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.
Unaweka bilioni 7 ili kuzalisha bilioni 11 za kupika?Japo Watalii Kwa mwaka ulioishia walifika 1.45Milions ila hao ni kidogo sana..
Mwaka huu wanatarajiwa kugika.mil.2 Kwa mara ya kwanza ila Bil.11 ni hela kiduchu sana ya kuleta matokeo makubwa kwenye Utalii?
Egypt huko wanaweka matilioninikinwafikishe Watalii mil.15 by 2025.