Humu ndani kuna changamoto sana ya elimu ya uchumi nadhani serikali inabidi watazame mitaala inafundisha nini especially masomo ya kibiashara na uchumi maana watoto ni vilaza balaa humu ndani.Hata e payment inahitaji bank husika iwe na dollar
Me nimeona hata uvivu kumuelekeza maana nikajiuliza watu wanachukuliaje maswala ya FOREXInahitajika nchi zifanye biashara ili fedha za nchi husika zipatikane.
Tukinunua kwa Yuan maana yake itabidi tupate Yuan zakutosha kutokana na China kuagiza kwetu bidhaa nyingi kwa Yuan, na yeye anunue kwetu kwa Tzs
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpumbavu sana wewe.
Umeshiba Udaga na kiporo cha maharage unaleta uchafu hapa jukwaani.
hovyooooo
Tuelezee ndugu mtaalamu inafanyaje kazi. Tupe na tofauti ya E-payment na soko la kawaida.Epayment ni tofauti na cash mzee.
Hizo figures umeweka ni za nini hasa?Unaweka bilioni 7 ili kuzalisha bilioni 11 za kupika?
Hata hivyo boss, kweli maeneo ya utalii tulionao, tukazalishe bilioni 11?
Kuna visiwa vimetuacha mbali mno kiuchumi, mno! Wanategemea utalii tu.
Hayo majina tu tayari yanakupa jibu utegemee nini.Itabidi mchumi first class Dr Mwigulu PhD aketi na Bingwa wa Uchumi Duniani Prof Lipumba waweze kutufanyia Wepesi!
jinga wewe mbona hiyo corona ndio ilimuua alisaidia nini sasa misukuma huwaga haina akili kabisa kwendraaaaaaaaaaaaaa, unanifananisha mimi na mavitu ya hovyo.Ndio aliekuokoa kwa corona maana angesema ufungiwe wewe na ukoo wako wote mngekufa kwa njaa!
Coment hii kamuoneshe hadi b mkubwa wako
Elimu ndogo huyo ndio maana nimeona nisimjibu maana tutagombana tu hapa. Muda mwingine ni kujifanya hujui kitu ili mjuaji apite hivi [emoji117]Return ya ile investment iliyofanyika mpaka sasa ni kiasi gani?
Au ndo ishakuwa siri na makusanyo ya Tozo kwa manufaa ya msoga gang?
Hamna kitu ataongea hakuna PHD pale ni makaratasi tu.mwigulu Nchemba hebu toa msimamo wa serikali kwenye kukabiliana na uhaba huu?
Utalii wa nyoko.... [emoji23]Japo Watalii Kwa mwaka ulioishia walifika 1.45Milions ila hao ni kidogo sana..
Mwaka huu wanatarajiwa kugika.mil.2 Kwa mara ya kwanza ila Bil.11 ni hela kiduchu sana ya kuleta matokeo makubwa kwenye Utalii?
Egypt huko wanaweka matilioninikinwafikishe Watalii mil.15 by 2025.
Itakuwa ni lile swala la "foreign currency"Kwann China isitoe tamko bidhaa zake zinunuliwe kwa yuan badala ya US
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha tu yaani inauma na hawa watu baadhi unakuta wapo serikalini wanawania nafasi za juu za uongozi.Mfano mzuri, lakini kichwa maji huyo, sidhani kama kaelewa. Jamaa bonge la tutusa…
Sasa unachukia Nchi inapofanikiwa 😁😁😁😁
Shida watanzania huwa mnajiamini sana katika ujinga ndo maana huyo mjinga .wenzio anakwambia ameona uvivu kunielewesha nawewe unaejifanya unajua uchumi kanjanja.Tuelezee ndugu mtaalamu inafanyaje kazi. Tupe na tofauti ya E-payment na soko la kawaida.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Itakua cute wife na mzungu wake wameficha dola nyingi sana. Vyombo vya dola fanyieni kazi hili
Tunaongoza kwa ulafi pia! Uibe trilioni 2, unazifanyia nini? Halafu iweje?Africa ndio ingekuwa Tajiri kuliko Bara lolote maana tunaongoza Kwa Mali.
Zimekuwa ngumu mno. Yani wana kupa 1000 tu .Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.
Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.
Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani wakaniambia hawana dola, nikatoka nje. Mlinzi akaniita, akasema dola ni Tzs 3,200/ nikasema that's too much, wakanishusha hadi 3,000/-
Mama yangu Samia Suluhu Hassan, hii hali ni mbaya, huko tunakoelekea nchi itaweza kuingia kwenye mfumuko mkubwa sana wa bei, hyper inflation, maana dola ni adimu, inapatikana kwa gharama kubwa. Hii itapelekea kupanda sana kwa bei ya bidhaa hasa ukizingatia zaidi ya 95% ya bidhaa tunazozitumia tunaagiza kutoka nje ambako tunanunua kwa pesa za kigeni.