Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Bongo uwe makini na taarifa hasa za media. Toa mwenyewe kwa taasisi husika, japo napo Kuna muda inaweza kuwa ndivyo sivyo kulingana na mazingira.Hapo ukichanganya na mauzo ya nje kwa bidhaa kadha wa kadha
Ipaste mkuu sijalipia citizen.Bongo uwe makini na taarifa hasa za media. Toa mwenyewe kwa taasisi husika, japo napo Kuna muda inaweza kuwa ndivyo sivyo kulingana na mazingira.
Hii taarifa ya citizen ya mwezi uliopita msome waziri wa madini uone anachosema ulinganishe na hiko
BoT's gold buying spree strengthens reserves
The ministry of Minerals has plans to transform Tanzania's mining sector, with a target to expand mineral exploration coverage from 16 percent to 50 percent of the country by 2030.www.thecitizen.co.tz
Mkuu hayo mauzo ya nje tulijadili kila mwaka yanaongezeka kwa nn dollar haikushuka? Hili ndio swaliHiyo ni moja ya sababu lakini ishu kubwa ya kuweza kustabilize currency ni kuuza sana nje, ndo maana tunasema labda ya mauzo ya bidhaa njee hasa kwa kuanzia oktoba mpaka sasa yamepelekea kupatikana kwa usd. Mauzo ya njee ni pamoja na hiyo dhahabu kumbuka kama walifanikiwa kununua 20 ya manunuzi ina maana Kuna dhahabu ya usd 370,000,000 na watu binafsi Sasa ukiweka na bidhaa nyinginezo bado unakuta Kuna mzigo wa dollar umeingia tu
Lipia usome taarifa nyingi na muhimu. Waliweka kulipia sio kwa bahati mbayaIpaste mkuu sijalipia citizen.
Mimi ni reflect kulingana na hiyo taarifa kuwa kama manunuzi yalifikia kg 800 basi Kuna asilimia 80 ya 100 imeuzwa njee ambayo ndo unakuja kupata 370mil.Mkuu hayo mauzo ya nje tulijadili kila mwaka yanaongezeka kwa nn dollar haikushuka? Hili ndio swali
Pia kuipata dhahabu kutoka oktoba hadi sasa kwa hiyo 20% sio rahisi. Na pia kuiuza na kuleta matokeo leo ndani ya mwezi haiwezekani.
Yeah.Inawezekana pia ikawa sababu kumbuka hapo kati Kuna mikopo mingi tumeomba inawezekana ndo pesa imeingia
Bata ingekuwa kweli. Kg800 za dhahabu haiwezi kuwa $370mil. $370mil ni kama bilioni 900+. HaiwezekaniMimi ni reflect kulingana na hiyo taarifa kuwa kama manunuzi yalifikia kg 800 basi Kuna asilimia 80 ya 100 imeuzwa njee ambayo ndo unakuja kupata 370mil.
Mpaka sasa hatujapata jibu kwanini
Kila mwaka mauzo yakuwa lakini ilikuwa ngumu kuyatrack mfano nimekupa wa dhahabu Sasa hivi unalazimishwa kuuzia kwenye masoko yanayojulikana kwa hiyo hata traceability inakuwepo.Mkuu hayo mauzo ya nje tulijadili kila mwaka yanaongezeka kwa nn dollar haikushuka? Hili ndio swali
Pia kuipata dhahabu kutoka oktoba hadi sasa kwa hiyo 20% sio rahisi. Na pia kuiuza na kuleta matokeo leo ndani ya mwezi haiwezekani.
Hapa ni assumption ila still yet mwenye data Kamil ni BotBata ingekuwa kweli. Kg800 za dhahabu haiwezi kuwa $370mil. $370mil ni kama bilioni 900+. Haiwezekani
Pia nakusisitiza mabadiliko hayawezi kuwa ndani ya mwezi. Kila mwaka tunapata $3.3bilion unahisi kwa nn haikushusha dollar? Alafu ine ishushwe na hiki kiasi kidogo mno?
Sijamanianishq kg 800 namaanisha kama walinunua kg 800 inamaana Kuna kama kg 4000 zimeuzwa nje ambayo imepelekea kwenye 370milBata ingekuwa kweli. Kg800 za dhahabu haiwezi kuwa $370mil. $370mil ni kama bilioni 900+. Haiwezekani
Pia nakusisitiza mabadiliko hayawezi kuwa ndani ya mwezi. Kila mwaka tunapata $3.3bilion unahisi kwa nn haikushusha dollar? Alafu ine ishushwe na hiki kiasi kidogo mno?
Ukiagiza gari leo unalipia dola chacheTueleweshe hapa inasaidia nini au umuhimu wake ni upi katika masuala ya kiuchumi
Wabongo walidai eti bricks ni mungano wa vikobaAu ile kitu inaitwa BRICS inafanya yake?
Mauzo yalikua ngumu kuyatrack? Hapa nazungumzia mauzo rasmi hayo ambayo hayajulikani Wala hayapo kwenye reports za BOT. Mauzo rasmi ni $3.3bil kwa mwaka. Swali langu haya yalishindwa vipi kushusha dollar?Kila mwaka mauzo yakuwa lakini ilikuwa ngumu kuyatrack mfano nimekupa wa dhahabu Sasa hivi unalazimishwa kuuzia kwenye masoko yanayojulikana kwa hiyo hata traceability inakuwepo.
Lakini ukija kwenye export mwaka huu huwezi linganisha na mwaka jana mfano tu cashewnut 2023 export ilikuwa 250,000tonne Lakin kwa mwaka huu mauzo yashafika 338,000 tones na bado minada inaendelea, vile kwenye mazao kama ufuta na mbaazi .
Chukulia tu kwa minada mpaka November dhamani ya korosho iliyouzwa minadani ilikuwa imefika Zaid usd 400mil wakati mwaka jana export jumla ilikuwa usd 225.607594mil huoni kama Kuna gap kubwa sana
Kg 4000?? Huo utani sasa, tunaanza kujadili kwa kubahatisha.Sijamanianishq kg 800 namaanisha kama walinunua kg 800 inamaana Kuna kama kg 4000 zimeuzwa nje ambayo imepelekea kwenye 370mil
RN is 2375.00$1=2490 tsh
Kama Bot walinunua kg 800 kwa oktoba ambayo ni 20% ya manunuzi inamaana Kuna 4000kg za dhahabu ziliuzwa nje ambayo ukiconvert 20% ya 4000 unapata kg 800kg kipi kigumu hapoKg 4000?? Huo utani sasa, tunaanza kujadili kwa kubahatisha.
Mkuu umekomalia kg 800., Kg 800 zinaweza vipi kushusha dollar haraka ndani ya mwezi?Kama Bot walinunua kg 800 kwa oktoba ambayo ni 20% ya manunuzi inamaana Kuna 4000kg za dhahabu ziliuzwa nje ambayo ukiconvert 20% ya 4000 unapata kg 800kg kipi kigumu hapo
Wewe ndo muongo maana hiyo dollar imeshuka dhidi ya Tsh na sio pesa Zingine. Fanya uchunguzi kwanza kabla ya kuropokaAcha uongo
U.s federal reseve alishusha interest rate ambayo iko 4.5
Bot hananguvu ya kucontrol soko la dollar acha uongo