DON NALIMISON ana matarajio ya KUOA Mwanamke wa aina gani na atatoka nchi gani?

DON NALIMISON ana matarajio ya KUOA Mwanamke wa aina gani na atatoka nchi gani?

Sio kwa ubaya. Huyu jamaa nimemsoma juzi juzi tu kabla hajatoka jela. Sikuwahi kumfahamu kabla. Kama binadamu nasikitika kuona mapitio anayo yapitia japo sio kazi yangu.

Nadhani ndugu huyu baada ya kutoka jela alitakiwa apate wataamu wa akili au washauri wa karibu. Imagine humu watu wanaficha picha na majina yao lakini yeye kaweka wazi mpaka wazazi. Inasikitisha.

Mnao mpoteza zaidi ni nyie mnao mshabikia kila kukicha. Muelekezeni njia sahihi jamani.
Kisandu chenga muda sana, hata kabla hajaenda jela, swala la kutumia picha yake sio issue kwake, alafu mbona wengi tu humu wapo verified na wanatumia picha zao halisi.
 
Sio kwa ubaya. Huyu jamaa nimemsoma juzi juzi tu kabla hajatoka jela. Sikuwahi kumfahamu kabla. Kama binadamu nasikitika kuona mapitio anayo yapitia japo sio kazi yangu.

Nadhani ndugu huyu baada ya kutoka jela alitakiwa apate wataamu wa akili au washauri wa karibu. Imagine humu watu wanaficha picha na majina yao lakini yeye kaweka wazi mpaka wazazi. Inasikitisha.

Mnao mpoteza zaidi ni nyie mnao mshabikia kila kukicha. Muelekezeni njia sahihi jamani.

yaani don afiche picha yake!?

kila mtu anamjua halafu huyu ni legend
 
Wana JF tumsaidie huyu ndugu yetu jamani, tutampoteza tusipokuwa makini
 
Back
Top Bottom