DON NALIMISON ana matarajio ya KUOA Mwanamke wa aina gani na atatoka nchi gani?

DON NALIMISON ana matarajio ya KUOA Mwanamke wa aina gani na atatoka nchi gani?

Mkuu, wamekupa ukimwi huko jera? CCM hawana utu kabisa.
 
Mkuu walimbwende wa bongo wamekufanya nn mpaka hutaki kuwaoa.......

Je munkari wa kugegeda ukikuoanda kabla ya kupata hao wa US na UK utautuliza vp? Unapiga puchu......

Anyways kila la heri kaka
 
SITARAJII KUOA Mbunge Wala Waziri Wala Mkuu wa Wilaya au Mkoa Wala Katibu Tawala.Labda Kama kunizalia watoto au kunifariji kimahaba.

DON NALIMISON, nitaoa Msanii mwenzangu ama Mwanamziki au Mwanamitindo kutoka Nchini Marekani au Uingereza au Miss kutoka Miss World. G9ty. JIPANGENI UPYA.View attachment 1502375
Wacha weeee
Kwani kumuoa mtoto wa Obama ulighairi?


Lakin wakuu huwa huruma inanijia sana juu ya huyu jamaa , hakuna matibabu kweli? Alaf alifungwa jela hivi karibuni kweli serikali haikuona haja ya kumpima akili na kumtibu
 
Back
Top Bottom