Kwani alikuwa mzima liniAnaonekana mgonjwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alikuwa mzima liniAnaonekana mgonjwa
Sina uhakika,hii ID ni ngeni kwanguKwani alikuwa mzima lini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi sawa mbabu..nilikumiss lakiniUlinitosa ulizani sitapata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeoa mrembo mbibi, karibu sana kwetu...
Ambaye huwa anakuteka mwambie asiwe anazidisha muda wa kukuteka basi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi sawa mbabu..nilikumiss lakini
Nikwambie ni nani?Ambaye huwa anakuteka mwambie asiwe anazidisha muda wa kukuteka basi..
Kosa walilofanya ni kukuwahisha kutoka jela. Ungekaa kama miaka 14 hv ungetoka timamu kichwaniSITARAJII KUOA Mbunge Wala Waziri Wala Mkuu wa Wilaya au Mkoa Wala Katibu Tawala.Labda Kama kunizalia watoto au kunifariji kimahaba.
DON NALIMISON, nitaoa Msanii mwenzangu ama Mwanamziki au Mwanamitindo kutoka Nchini Marekani au Uingereza au Miss kutoka Miss World. G9ty. JIPANGENI UPYA.View attachment 1502375
NdioNikwambie ni nani?
Legend mavi mavi tu
Kwahiyo ww lijendi?Kubali ukweli bwanaaa.
Wamshauri akacheki hata malaria 😶
Jina linaanziwa na S kwaiyo bunia yupo huuNdio
Hali ya hewa ya leo unaielewa?
Hii comment imeniacha na kicheko hapa!!
Hali ya hewa tangu jana sio poa,nipo nimejifunika kabisa muda huu
Fanya namna basi, hali iliyonikuta jana isijirudie.
Unajua siyo vizuri kiafya!
Ahaaa kumbe ni Bilionea mpya wa Chuga(Saniniu)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jina linaanziwa na S kwaiyo bunia yupo huu
Ps.sio saint ivuga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahaaa kumbe ni Bilionea mpya wa Chuga(Saniniu)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kwenye fursa mbibi hufanyagi nakosa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mule mule mbabu
Jana ilikuwa nije ila ndio vile tulikuwa na mechi
Nakuja basi leo tuangalie ya madrid....uzuri kesho day off kwangu