DON NALIMISON ana matarajio ya KUOA Mwanamke wa aina gani na atatoka nchi gani?

DON NALIMISON ana matarajio ya KUOA Mwanamke wa aina gani na atatoka nchi gani?

Ulinitosa ulizani sitapata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimeoa mrembo mbibi, karibu sana kwetu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi sawa mbabu..nilikumiss lakini
 
SITARAJII KUOA Mbunge Wala Waziri Wala Mkuu wa Wilaya au Mkoa Wala Katibu Tawala.Labda Kama kunizalia watoto au kunifariji kimahaba.

DON NALIMISON, nitaoa Msanii mwenzangu ama Mwanamziki au Mwanamitindo kutoka Nchini Marekani au Uingereza au Miss kutoka Miss World. G9ty. JIPANGENI UPYA.View attachment 1502375
Kosa walilofanya ni kukuwahisha kutoka jela. Ungekaa kama miaka 14 hv ungetoka timamu kichwani
 
Halafu si bure Bibi FaizaFoxy ndio kamcheza huyu kijana, hlf anaona nyuzi zake anazipita tu kama si yeye

Hii dunia hii
 
Jina linaanziwa na S kwaiyo bunia yupo huu
Ps.sio saint ivuga
Ahaaa kumbe ni Bilionea mpya wa Chuga(Saniniu)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila kwenye fursa mbibi hufanyagi nakosa...
 
Ahaaa kumbe ni Bilionea mpya wa Chuga(Saniniu)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila kwenye fursa mbibi hufanyagi nakosa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mule mule mbabu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mule mule mbabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa natarajia kukuona kwenye ubonge nyanya kwa siku za usoni mbibi...
 
Back
Top Bottom