DON NALIMISON ana matarajio ya KUOA Mwanamke wa aina gani na atatoka nchi gani?

Mkuu, wamekupa ukimwi huko jera? CCM hawana utu kabisa.
 
Mkuu walimbwende wa bongo wamekufanya nn mpaka hutaki kuwaoa.......

Je munkari wa kugegeda ukikuoanda kabla ya kupata hao wa US na UK utautuliza vp? Unapiga puchu......

Anyways kila la heri kaka
 
Wacha weeee
Kwani kumuoa mtoto wa Obama ulighairi?


Lakin wakuu huwa huruma inanijia sana juu ya huyu jamaa , hakuna matibabu kweli? Alaf alifungwa jela hivi karibuni kweli serikali haikuona haja ya kumpima akili na kumtibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…