Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Ma-single moms yanaangukia wapi? Namaanishe yale yasiyopenda kuolewa but yanatafuta watoto kwa "njia zingine" including hiring wanawake wengine wawazalie.
 
twende na Trump
 
Wale sio waarabu ni wazungu wenzio waangalie vizuri waliweka vili ili muone waarabu pia wanadai wahalalishiwe hiyo ni propaganda za kimagharibi walijua wapo watu kama nyie mutawakubalia propaganda zao ila nakupa pole maana ndio uwezo wako wa kuona
Dah sasa waarabu walokuwa wanakimbilia USA ili wakaf!rane wataenda wapi sasa?
 
Naamini sasa mungu atawaepushia azabu na hata maafa ya vimbunga vinavyotokea Amerika ni asira za mungu uchafu mwingi sana ulikuwa unafanyika Amerika na amini dunia tuungane kote tupinge uchafu huu na mungu atatubariki hongera sana trump mungu akupe nguvu zaidi dunia yote ijue
 
We kweli mshangazi?? Mbona kama kitoto cha afu mbili na tano kuja juu,,,
 
Museveni alianzishe sasa! Amalizie ile sheria yake iliyoishia njiani baada ya kupata vitisho toka tawala za kishoga. Now has full support from his excellence D. Trump.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…