The best_of _me
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 242
- 486
Hili suala la uchaguzi wa USA zipo maada nyingi ambazo zimetolea ufafanuzi, lakini bado watu wanakuja na ngonjera tu.Suluhisho kwa sisi we nye vichwa vigumu ni nini?Angalao tujikomboe.
Mimi j
DUUH! KWA WEWE UNA STRESS ZA NINI TANZANIA HII?Achana na kuleta historia ya DT hakuna asiejua mapito yake! Ungeandika tu Kashinda Urais inatosha.
Maneno mengi ya nini.
Kwanini aisee?Amka kutoka usingizini usijikojolee.
Maandishi haya sio mageni jijinikamala harris alikuwa hawapendi waisraeli japo usoni na kimatamshi alikuwa akijifanya kuwa nao na wamemmaliza
Amenunua kreti akaishia bia mbili alfu kalewaTitle ya uzi ndefu kichizi,, uzi wenyewe sasa π
Eeh sawa!kamala harris alikuwa hawapendi waisraeli japo usoni na kimatamshi alikuwa akijifanya kuwa nao na wamemmaliza
Nilitegemea kukutana na ufafanuzi wa kina lakini imekuwa nje ya mategemeo yangu kabisa πAmenunua kreti akaishia bia mbili alfu kalewa
Uzi kipengere!Title ya uzi ndefu kichizi,, uzi wenyewe sasa π
Mungu fundi kwa kweli!Nilitegemea kukutana na ufafanuzi wa kina lakini imekuwa nje ya mategemeo yangu kabisa π
Kama mtazamo wako ndo huo,, it's okay mkuu ππ€π½na cha kushangaza sasa unavyolalamika utafikiri labda kuna mahala popote pale kenge wewe umelazimishwa kuusoma
ulichoandika ndo ushabiki maandaziHua naskitika sana nikiskia watu wanaoamini Israel ndio mjanja anaiendesha Marekani. Kaa ukijua Israel ipo hapo sababu ya Marekani na sababu Israel analinda maslahi ya Marekani middle east. Inshort Israel ni kama 51 state ya Marekani sasa nikiona watu wanavoipa nguvu israel kama ndio inaamua hatma ya Marekani ni ushabiki maandazi.
Uzi tayari π€kamala harris alikuwa hawapendi waisraeli japo usoni na kimatamshi alikuwa akijifanya kuwa nao na wamemmaliza