Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Wahooo!
Furaha sana kwangu asubuhi ya leo.
 
Wamnadi muda mwingi wakati ndio alikuwa VP kwa miaka 4?
Kamala Harris hakuwa Mgombea sahihi kwa kiti cha uRais wa Marekani kwa kushindana na Trump. Democrats wangejifunza kupitia kwa Hilary Clinton kwenye Uchaguzi wa mwaka 2016. Uchaguzi huo ungekuwa kama Pilot Project kwa Democrats ili kuweza kumteua mtu sahihi wa kushindana na Trump.
Narudia tena kusema kwamba Democrats walipiga mahesabu vibaya kwenye Uchaguzi huu.
 
Biden pamoja na uzee wake nadhani angekuwa competitive kushinda Kamala.
 
Rais wa Marekabni sio Magufuli mlipa kisasi๐Ÿ˜‚
Aaah, subiri uone na endelea kuamini hawalipi kisasi.

Nadhani ulikuwa mtoto wakati George W. Bush alipoivamia Iraq kulipa kisasi cha baba yake George Bush aliyekuwa rais kabla ya Clinton kutaka kuuliwa na Iraq. Ulitengenezwa uongo wote mpaka ikapatikana sababu ya kumpiga Sadam Hussein.
 
Trump sio Kamala na Biden, hii ni namba nyingine kabisa iliyowafanya Iran wanywee kipindi chake akiwa Rais kabla ya Biden.

Vyuma vilikaza sana Iran, Walisimamiwa ukucha kwenye vikwazo vya kuwabana wasiuze mafute, Hawakuwa na jeuri waliyonayo sasa ya kuuza mapipa milioni kila siku, Biden anawachekea.

Trump kushika Madaraka ni "Mguse Israel uone cha mtemakuni" hajivungi kuonesha mapenzi yake ya wazi kwa Israel kuanzia alipotambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel, na kuwasaidia Israel kulichukua eneo la Golan Heights, Isis mfupa uliomshinda Obama ilipotezwa mazima kipindi chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ