Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Hiyo si vita ya juzi tu?
 
Yaani Hao democrats wange tawala miaka 4 mingine dunia ingekuwa inashuhudia laana kubwa Sana ambazo hazijawahi kutokea
 
Hujui kitu
 
Kile kitendo chake cha kuanza kampeni ndicho kimewagharimu sana Democrats. Inaonesha hawakuwa na uhakika na wanachokifanya - wabahatishaji hata kwenye mambo ya msingi kama urais wa nchi!

Hebu fikiria kama Joe Biden angeshinda tena!

Hilo ndilo limewafanya wafuasi wao wengi wapoteze imani na chama. Halafu, Kamala hakuwa na muda mrefu wa kujiandaa. Miezi mitatu tu ya kampeni halisi, wakati Trump tayari alikuwa mkongwe majukwaani?

Ndiyo maana siku JB anaachia ngazi na Kamala akatangazwa kuwa mgombea rasmi, Trump alidai angeshinda asubuhi na mapema. Akawashukuru JB na Democrats kwa kujitoa kwenye kinyang'anyiro hicho.
 
Hujui kuwa yule Mama ni Mhindi
 
Sio makelele tu Trump kashinda Trump kashinda tuige vitu vya msingi matokeo ya urais yatangazwe siku hio hio ndani ya masaa 24. Kwani tunashindwa vipi kuweka mifumo ya kura kama hio? Tumeweza kununua ndege iweje tushindwe kuweka mifumo thabiti ya uchaguzi? Kumbukeni bila viongozi wa maana tutaendelea kufukuza upepo tu na mark time bila kusogea
 
Ngumu sana mkuu! Msimamizi wa Uchaguzi ndo mkwe wa mgombea unadhani kitatokea nini!? Unataka Wanu aombe talaka ehh!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…