Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Tulisema kwenye ile mada ya kuchaguliwa kwake kuwa mgombea kwamba asingeshinda.Ila Kamala was a horrible candidate. Kazi kucheka cheka tu na kuongea pumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulisema kwenye ile mada ya kuchaguliwa kwake kuwa mgombea kwamba asingeshinda.Ila Kamala was a horrible candidate. Kazi kucheka cheka tu na kuongea pumba.
Tatizo ni yule aliyewapa hilo jina la Fox (mbweha)! Daima kazi ya mbweha ni ufukunyuku.FOX NEWS WAMESHAMALIZA MJADALA TAYARI HUKO!
TRUMP TO THE OFFICE 🏬
Hiyo si vita ya juzi tu?Aaah, subiri uone na endelea kuamini hawalipi kisasi.
Nadhani ulikuwa mtoto wakati George W. Bush alipoivamia Iraq kulipa kisasi cha baba yake George Bush aliyekuwa rais kabla ya Clinton kutaka kuuliwa na Iraq. Ulitengenezwa uongo wote mpaka ikapatikana sababu ya kumpiga Sadam Hussein.
😃😃😃😃JAMANI MSIPITE BILA KULIKE
:"KAMA SIO BIKRA USIOE"
TUNA KUMBUSHANA TU
Hata wewe unajua kuwa mgombea wenu ni dhaifu.Mgombea wenu wa Upinzani ni yupi hiyo ikiwa hamna hata wagombea wa Vijijini na Miata?
Ile mada hitimisho lake limeshapatikana mkuu...2028 anagombea tena, mkuu.
Unaonaje, turudi kwenye ile mada yetu ya jana?
Hawezi. Uchaguzi unekwisha.What if akishindwa kwenye kura za mabwanyenye?
Yaani Hao democrats wange tawala miaka 4 mingine dunia ingekuwa inashuhudia laana kubwa Sana ambazo hazijawahi kutokeaViva Trump, 2020 haikuwa wakati sahihi, ilibidi kina Biden washinde wamarekani wajue kwamba Democrats ni chama kisichojali wamarekani,
Kashinda kwasabau chama cha Harris / Democrats
- Wanaingiza wanaume waliobadili jinsia kwenye michezo na vyoo vya kike
- Gharama za maisha zilipanda sana / Mfumuko wa bei
- Kuingiza maharamia milioni 20 ambao Trump kaahidi kuwatimua
- Kuruhusu watoto wabadili jinsia bila ridhaa ya wazazi
- kutoa mimba iliyokomaa miezi 9
- kuwapuuza Israel, Kamala kawapa support ya wazi Hamas
Hujui kituTrump sio Kamala na Biden, hii ni namba nyingine kabisa iliyowafanya Iran wanywee kipindi chake akiwa Rais kabla ya Biden.
Vyuma vilikaza sana Iran, Walisimamiwa ukucha kwenye vikwazo vya kuwabana wasiuze mafute, Hawakuwa na jeuri waliyonayo sasa ya kuuza mapipa milioni kila siku, Biden anawachekea.
Trump kushika Madaraka ni "Mguse Israel uone cha mtemakuni" hajivungi kuonesha mapenzi yake ya wazi kwa Israel kuanzia alipotambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel, na kuwasaidia Israel kulichukua eneo la Golan Heights, Isis mfupa uliomshinda Obama ilipotezwa mazima kipindi chake.
Maana hii ni mara ya pili sasa mgombea mkuu Wa democrat anapigwa chini tena akiwa mwanamke baada ya mke wa Clinton next election sijui watamleta mke wa Obama 😁😁😁Ni dhahiri kabisa huko duniani mwanamke bado hana uwezo wa kupewa madaraka makubwa ebu ccm fanyeni jambo 2025
Kile kitendo chake cha kuanza kampeni ndicho kimewagharimu sana Democrats. Inaonesha hawakuwa na uhakika na wanachokifanya - wabahatishaji hata kwenye mambo ya msingi kama urais wa nchi!No, Biden pia angeshindwa.
Biden alipaswa atangaze mapema zaidi nia yake ya kutogombea tena kiti cha uRais ili kutoa nafasi kwa Watu wengine ambao ni wagombea sahihi & competitive ndani ya chama chake cha Democrats kuweza kuonyesha nia zao za kugombea.
Kumbe ni team Russia karibu Sana 🔥🔥🔥😃Pumzika kwa amani Yahya Sinwar, Kamala aliniudhi sana kushangilia kifo chako.
Russia tumeshinda tena, nimefurahi.
Je na Associated Press naye ni fukunyuku?!Tatizo ni yule aliyewapa hilo jina la Fox (mbweha)! Daima kazi ya mbweha ni ufukunyuku.
Angeshinda majimbo haya pia, ingekuwa pigo kubwa sana kwa Democrats. Imagine New York yenyewe ina electoral votes 28!Hapo kabla alitabiriwa kushinda majimbo ya New York na Massachusetts
Hujui kuwa yule Mama ni MhindiWamarekani ni wabaguzi sana hasa Hawa weusi,si ajabu ndo mana wamarekani weusi wanabaguliwa mpaka Dunia ya Leo ya mwangaza.
Wamempiga chini Kamala kwa sababu ya uanamke wake na ngozi yake yenye uweusi ndani yake.Naamini wale manguli weupe kama Trump,Elon musk bado wanaamini wao ndo Wana haki na Taifa Hilo,na hata kwa Obama nafikiri walimchagua ili kujarbu kubalance ubaguzi ila hata Leo nafikiri ni doa kubwa kwao.
I hope wanafuraha Sasa mzungu pure ndo kashinda.Suala la Vita na mambo mengine hayatobadilika hata chembe,walichojarbu kuzuia TU ni taifa lao Kua na Mtu mweusi Tena Mwanamke.Tuendelee kuamini hiki kizazi cha hawa weupe ambao waliwahi kututawala,kutubagua,kurunyanyasa na kutupora kua ni Mitume ktk zama hizi
Balance of power,Kitu sijawahi kumuelewa Trump ni urafiki wake na Putin, hivi huwa ni kwa ajili ya nini?
Ndio kanuni ya maumbileDunia haijawa tayari kuongozwa na mwanamke, at least wamarekani wametukumbusha tu.
Ngumu sana mkuu! Msimamizi wa Uchaguzi ndo mkwe wa mgombea unadhani kitatokea nini!? Unataka Wanu aombe talaka ehh!?Sio makelele tu Trump kashinda Trump kashinda tuige vitu vya msingi matokeo ya urais yatangazwe siku hio hio ndani ya masaa 24. Kwani tunashindwa vipi kuweka mifumo ya kura kama hio? Tumeweza kununua ndege iweje tushindwe kuweka mifumo thabiti ya uchaguzi? Kumbukeni bila viongozi wa maana tutaendelea kufukuza upepo tu na mark time bila kusogea