Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

Ila mimi nijuavyo trup sio mzee wa vita sana Sema nawaonea huruma wa Palestine atazidi kuumizwa kwakua Trump amawasaport zaidi wa Israeli
 
Ndiyo umeeleza nini sasa?

Sina uhakika hata kama wewe mwenyewe umeelewa ulichoandika.

Swali ni dogo sana, kwanini hawaachi kura za wananchi ndiyo zikawa kura za kuamua mshindi?

Kama ni demokrasia basi demokrasia nzuri na yenye uhalisia ni ile mamlaka ya uamuzi kuachiwa umma.

Sasa hii ina tofauti gani na China ambako tunaambiwa hakuna demokrasia ya kweli ambapo Rais anachaguliwa na bunge.
Maskini poleee, inaonekana wewe ni slow learner sana.
 
Huoni pia unaposema inabalance maana yake ni sawa na kuwanyima haki ya kumchagua Rais wamtakaye hao unaosema wapo wengi kwenye majimbo yao?

Kuna usemi usemao wengi wape sasa hapo mbona kama wengi wananyimwa?
Sema mwamba una kichwa kigumu, please don't take offense, we umeambiwa anaepata kura NYINGI kumzidi mwenzie kwenye jimbo husika ndo huyo huyo anapewa electoral votes zote za jimbo!! Hebu tuelezee hao wengi wamenyimwa vipi?
 
Kwa tafsiri ya demokrasia ambayo wao wazungu ndiyo waanzilishi wa tafsiri na maana ya demokrasia basi wao ndiyo hukeuka hiyo dhana ya demokrasia.

Nimeambatanisha hapa nini tafsiri ya demokrasia na majibu ni kama haya.

Je, bado unataka tuamini kwenye uchaguzi wa Marekani kuna demokrasia?
Bakia na unachoelewa, usinizeeshe.
 
Back
Top Bottom