Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Majini 72 wametumwa Los Angeles
Safi japo sio jehova ingekuwa IRAN sasa ivi mifuko ya mazwazwa ingekamuliwa jumapili hiii wangeambiwa mungu w Israel anaichoma IRAN watu meno yote nnje na misada kibao wakidhan wanampa mungu w Israel Aleruyaaaaaaaaa!!!!!
 
Lakini moto unaweza kuanzia mwabepande ukaja sinaza ukavuka hadi kariako na post
 
uzuri sisi tuliweza kudhibiti moto kule mlima kilimanjaro umoja wetu watanzania ndio sila yetu
 
Ongezea kuwa wangesema mossad na CIA wameshaafanya yao
 
Heading tu nikajua atakuwa muislam.. Mwambieni na Allah adeal na Waislam aache fikta za kuua non Muslims, kwasababu hatoweza kamwe atashindwa yeye kila siku..
 
Akamatwe kwa uchochezi trump, kwanini anasema hayo, ni kuichafua serikali tukufu ya Biden na mama Haris
 
Mwenyezi Mungu ana njia nyingi za kutuadhibu. Ngoja na wao waonje magofu kama yale ya Gaza sasa ndio wataelewa kusuport genocide sio jambo zuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…